Karibuni Songea

Mimi nipo hapa mpitimbi mission nacheza dogoli huku nikiwa na bakuli la mbege,afu kwa mbali naona mbali naona akina mama wakicheza mandilu.
Mpitimbi misheni, butcher LA meni bado lipo??nimemic kitimoto chake, master mwenyewe Digno, nimepamiss mno.

Wape hi hapoo misheni.
 
😀😀hakuna mkoa unaitwa Songea.Kuna mkoa wa Ruvuma.Kulikuwepo na vyuo vikuu vitatu SAUT-Songea,St Joseph na
Archbishop james university college, peramiho medical campus-
Peramiho ...kipindi cha Magufuli vikaondolewa hadhi(status) ya University. Peramiho kimebaki kuwa Institute na SAUT Songea nadhani kilishafungwa kabisa
 
Wajeda wa 4 walimla mande, mtungo huo, alilazwa peramiho, kakaa week 3 alivyopona akaenda Arusha, kakaa km miezi 3 aibu ilipoisha alirud, ila huduma mara nyingi wako wasaidizi wake.

Duh! Hatari
 
AJUCO, kimebadilishwa jina ila kipo, ni chuo cha kati.
 
Songea ndio home boy kabisa hapo sema kinachoniboa huko uchawi sana yani usishangae kila nyumba ni wanga yani kulogana mwanzo mwisho ndio mana hata mzuka wa kuja huko kiukweli sina kabisaa eniwei ndio maskani sema wasalimie wote huko.
Umejumuisha sana, uchawi uliopo ndani ya familia/ukoo wako ndio umefikiri mkoa mzima upo hivyo?
Nakushauri ukafikiri tena.
 
% kubwa vijana wavivu,wanafunguliwa vizibo hakuna hoja ya wivu kama Kuna udhaifu mnachanwa tu,, haiwezekan mtu amenunua shamba kwenye arakati za kuliendeleza yamechimbwa mabwawa hrf mwisho wa siku watu wanamwaga sumu kwenye mabwawa kisa shamba amenunua mgeni ,, Sasa hapo yupi mwenye roho mbaya? Usitetee ujinga kama upo na hoja yakujenga wilaya yenu,, badirikeni
 
Bado nakwambia acha mihemko bhana Songea kuna mabwawa mangapi yanamilikiwa na wageni na hayajamwagiwa sumu. Sema ndugu ako alizunguka ndoa maana wakamfanyia ivoo. Usijifanye mbabe sehemu za watu bali ishi nao vizuri tu ila ukizingua unazinguliwa hakuna unyonge
 
Hio sehemu maarufu kwa misosi hasa Kuku pana mipaka mikubwa Ila wangoni ni nyoko, nimesahau jina ndio sehemu maarufu hapo songea, Delux ni nyoko
Ukoto kutuliga Bambu wenga, tihumi ku nyoko yeniyo, heshima Sana penapo, nivili hapa pa Magagura nikulindila na ulanzi lidebe limonga na mdala

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
akili za vijana wa songea ni mahusiano tuu ndiomana nakwambia mnafunguliwa vizibo,,Sasa hapo swala la ndoa limetoka wapi? Mzeee mpo Vzr imeisha hiyooooo nyie wababe bhana
 
akili za vijana wa songea ni mahusiano tuu ndiomana nakwambia mnafunguliwa vizibo,,Sasa hapo swala la ndoa limetoka wapi? Mzeee mpo Vzr imeisha hiyooooo nyie wababe bhana
"Mungu hapendi mgombane wanae" mwisho wa kunukuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…