Mie napenda sherehe za kingoni, zikipigwa zile nyimbo zetu, bas nafunga khanga kiunoni, nikianza kusasambua hapo hadi hoi.
Wameharibu kuzirekodi zilikuwa zinanoga zipigwe laivu band weee🙌🏽Nakerekwa coz kwenye masherehe zinapigwa hizo nyimbo,wanacheza wenyewe
Yes,ndio huyoVeronica Komba yupii? Maana mie naemjua ni mwalimu wa sec,
Ila shule alizosoma sifahamu, kwa sasa anafundisha Siri secondary iko likuyufusi.
Yah mbali kidogoKumbe ni mbali, mara nyingi hua naishia Masasi
Njoo utaukuta tu wa kutoshaNimemic kugema ulanzii, ninywee wee hadi nilewee.
Njoo utaukuta tu wa kutosha
Km ndo yeye ngoja nikutafutie mawasiliano yake, nikipata ntakupaa.Yes,ndio huyo
Weeeeee usiniambiemie ulanzii nakunywa hata dumla 2 pekee anguu.
Jitahidi umuunganisheKm ndo yeye ngoja nikutafutie mawasiliano yake, nikipata ntakupaa.
Haina shidaa.Jitahidi umuunganishe
Weeeeee usiniambie
ulanzi mie nagema mwenyewee, mbeta natengeneza mwenyewee. Nikaa chini kunywa aaah mdogo mdogo, robo zinakata tyuuh hadi dumla 2 fyaaa.
aisee we' mngoni kweli... unajua mpaka dumla?kweli gwenye hugu ni gucocastic...
Ukija sasa inabidi nihakikishe usemayoulanzi mie nagema mwenyewee, mbeta natengeneza mwenyewee. Nikaa chini kunywa aaah mdogo mdogo, robo zinakata tyuuh hadi dumla 2 fyaaa.
Nimeishi kule mkuu nafahamu baadhi ya vitu... je, nimekosea?Dah! Gwenye hugu
Ndiyo mie hapa ni gu cocastic, gwenye gu ulanzi gukiwa kwenye gu mdumla topu mie nagumaliza gwote fyaaaaa.aisee we' mngoni kweli... unajua mpaka dumla?kweli gwenye hugu ni gucocastic...
Ukija sasa inabidi nihakikishe usemayo
Ndiyo mie hapa ni gu cocastic, gwenye gu ulanzi gukiwa kwenye gu mdumla topu mie nagumaliza gwote fyaaaaa.
Ngoni Og hapa,