Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,851
- 2,771
Acha upotoshaji na udanganyifuKambini nini kinafanyika au ndo mbadala wa kufunga kwa wasabato? kwanini usifunge personal mpaka uweke kambi
Enzi zile vijana rafiki zangu wasabato (pathfinder kama sijakosea) walikua wanatumia makambi kama uchochoro wa kukutana na mademu zao na mimba zilitungwa mno enzi zile
Sent using Jamii Forums mobile app