Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,958
Wadau wote wa JF Mnakakaribishwa kwenye Sikukuu za Vibanda maarufu kama MAKAMBI kwa mwaka 2018 katika mitaa ifutayo:
1. Mtaa wa Tegeta DAR ES SALAAM- Makambi yatafanyika katika Kanisa la SDA Tegeta na kujumuisha makanisa ya Bunju, Mbweni, Mabwepande,Tegeta Beach n.k
2. Mtaa wa Kinondoni DAR ES SALAAM- Makambi yatafanyika Viwanja vya Leaders Kinondoni.
Sherehe zitaanza tarehe 26/08/2018 hadi tarehe 01/09/2019.
Karibuni sana.
MOTTO
Mungu Kwanza
WANENAJI WAKUU:
1.Mchungaji William Bagambe
2.Mchungaji Jonas Singo
1. Mtaa wa Tegeta DAR ES SALAAM- Makambi yatafanyika katika Kanisa la SDA Tegeta na kujumuisha makanisa ya Bunju, Mbweni, Mabwepande,Tegeta Beach n.k
2. Mtaa wa Kinondoni DAR ES SALAAM- Makambi yatafanyika Viwanja vya Leaders Kinondoni.
Sherehe zitaanza tarehe 26/08/2018 hadi tarehe 01/09/2019.
Karibuni sana.
MOTTO
Mungu Kwanza
WANENAJI WAKUU:
1.Mchungaji William Bagambe
2.Mchungaji Jonas Singo