Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Chama cha demokrasia na maendeleo kinapenda kuwatangazia makamanda wote wa CHADEMA toka pempe zote za Tanzania waje Muheza waone CHADEMA inavyokua kwa kasi lakini pia waje kuongeza nguvu ya kuijenga CHADEMA Muheza.
Tunapokea makamanda kote nchini waje tushirikiane kuijenga CHADEMA Muheza yenye kata 33,vijiji 135 na vitongoji 521.
Tunashukuru kupata piki piki ya chama na vipaza sauti vyake vinatupa raha ya kujenga chama.
Tunapokea makamanda kote nchini waje tushirikiane kuijenga CHADEMA Muheza yenye kata 33,vijiji 135 na vitongoji 521.
Tunashukuru kupata piki piki ya chama na vipaza sauti vyake vinatupa raha ya kujenga chama.