silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Napenda kuwakaribisha wana Jamii Forum Wote kwenye Group ya SAUTI YA WATANZANIA tuweze badilishana mawazo na kupeana Taarifa ya kinachoendelea hapa Nchini kwetu Tanzania.
Group hili linaruhusu Mtanzania yeyote mwenye mapenzi mema na Tanzania kujadili mambo mbalimbali yakiwemo Kero, na hata kusifia Hatua mbali mbali ambazo selikali imefikia katika kuendesha Gurudum hili la Maendeleo,,
Pia linatoa fursa ya kutoa maoni na dukuduku za wana group na wale wanaoziona kuzifanyia Kazi,, karibuni sana nitafurahi nikiwaona kuja kujiunga kwenye Group hilo
Group hili linaruhusu Mtanzania yeyote mwenye mapenzi mema na Tanzania kujadili mambo mbalimbali yakiwemo Kero, na hata kusifia Hatua mbali mbali ambazo selikali imefikia katika kuendesha Gurudum hili la Maendeleo,,
Pia linatoa fursa ya kutoa maoni na dukuduku za wana group na wale wanaoziona kuzifanyia Kazi,, karibuni sana nitafurahi nikiwaona kuja kujiunga kwenye Group hilo