Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
mbona nikama kyela hvihii picha itakuwa imepigwa eneo gni la tanzania
mbona nikama kyela hvi
Sikiliza obama wa bongo. Unaandika kana kwamba kulikuwa na picha mbili:moja ya chadema na ingine ya ccm, halafu yeye kwa makusudi akachagua kuweka ya ccm! Haikuwa hivyo ndugu.Anachotaka kuonesha hapa ni kwamba kuna watu hata wakiwa chooni wanaiwaza ccm. Ni hivyo tu!ungeweka ya chadema hapo wangesema huyo ni mtanzania mzalendo! ila upande wa pili tunatoa kebehi na matusi