Karibuni futari wakuu..!!!!

Karibuni futari wakuu..!!!!

sijua kama utafunga tena kesho,huo mchanganyiko lazima uharishe aisee
 
Duh! Peke yako?!...unamaliza au hadi daku hiyohiyo?
sasa kama chakula chote hicho anaweka kwenye tumbo usiku wa leo, amefunga nini sasa? kesho njaa haitauma bado kuna chakula, sasa amefunga nini? atasema amejinyima kula kweli hapo?
 
sasa kama chakula chote hicho anaweka kwenye tumbo usiku wa leo, amefunga nini sasa? kesho njaa haitauma bado kuna chakula, sasa amefunga nini? atasema amejinyima kula kweli hapo?
Hahaaa,..... ramadhani adhimu acha afurahie mfungo wake bwana
 
sasa kama chakula chote hicho anaweka kwenye tumbo usiku wa leo, amefunga nini sasa? kesho njaa haitauma bado kuna chakula, sasa amefunga nini? atasema amejinyima kula kweli hapo?
Mkuu hiyo mbona cha mtoto, kwa maana I weigh almost 118lbs so I eat
 
Hahaaa,..... ramadhani adhimu acha afurahie mfungo wake bwana
amefunga kweli huyo? manake haoni njaa hadi kesho yake usiku, alafu mwezi huu ndio mwezi ambao vyakula huwa vinaadimika kuliko miezi mengine, watu wanapika vyakula vingi kuliko miezi mingine. na ndio mwezi wa kufunga, hebu tuelewesheni pengine mtatukomvisi tukaipenda na kusilimu, hivi kufunga kwenu huwa mnafunga nini sasa? usiku mzima unashinda ukila vyakula hadi saa za manane, mchana umechoka digestion umelala tu kusubiria usiku mwingine uingie uanze kula.
 
Back
Top Bottom