Karibuni chuo cha Mwalimu Nyerere Memorial Academy

Karibuni chuo cha Mwalimu Nyerere Memorial Academy

Wewe Kozi unayosoma imesajiliwa na TCU wanaitambua? kama ndivyo mbona kazini mnakosa mwelekeo?
Kama bado upo mwalm nyerere msaada mm nko kjijin sana network shida lkn nmechaguliwa apo ntapataje form au nsaidie no ata ya cm au websites yao sielew jins ya Kufanya ntakujaje bila kujua cost msaada wako
 
Wababaishaji sana waliomaliza kuanzia mwaka 2014 course za politics and management of bla bla hawatambuliwi utumishi shortly nasikia hawaajiriwi labda sector binafsi waliopo serikalini kwa iyo course ni wale waliosoma wakiwa inservice na wale wanaccm+ wenye michongo mikubwa u can imagine umesoma na mkopo umepewa lakini utumishi hawaiitambui ulichosoma poleni
Ushauri wa bure kama wew ni member active wa vyama vya upinzani usiende icho chuo usiulize kwanini tafuta profile la wahanga wa upinzani watakusimulia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom