Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Maandalizi yetu waanaume huwa hakina mvuto na hakimpi mtu mwingine hamu ya kula. haya karibuni
Najua ulitaka uone mchuzi wenye nyanya na kitunguu na mchuzi uwe mwekundu ahahaHongera Chifu, Unajua Kupika
Unapika msosi mtamu hivii utaoa kweli?
Kuna ujuzi hapo au unacheka tuMkuu, hauna dada mwenye ujuzi kama wako...
Mimi mwenyewe nipo hivyo, Napika pilau linagoma kubadilika rangiNajua ulitaka uone mchuzi wenye nyanya na kitunguu na mchuzi uwe mwekundu ahaha
kumchinja au kumkata kichwa na panga maana mmezoea kukata kichwa bila ya kuacha sehem ya shindo ahahahHuyo kuku anaoneka ulimchinja
Huyo kuku anaoneka ulimchinja
Haaaaaa mkuu umetishaaaaaaMaandalizi yetu waanaume huwa hakina mvuto na hakimpi mtu mwingine hamu ya kula. haya karibuni
View attachment 878798
Madame B. Angekuwa na mimba changa ningesema imekuharibu na weweMaandalizi yetu waanaume huwa hakina mvuto na hakimpi mtu mwingine hamu ya kula. haya karibuni
View attachment 878798