donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Yes catalyst hiyo mkuuNaiona pilipili pembeni hapo. Naauumu, kitu kipo mwake
Mwndo mashutiBeche na ndondo la kufa mtu hapo
Si mchezo kabisa mkuu, yaan hautoki hapoDuu aisee leo lazima nilile mchana,ubweche ndondo sio mchezo..!!
Rage naziDooh
Nzuri sana hii tamaduni ya kula pamoja ..wazungu wametuletea mila zao, atii kula kwa kijiko. ..duuu
HahahahahahahaWameweka na mwiko kabisa inamaana jikoni hakuna kitu tena, na usiposhiba imekula kwako.
Kwanza viliumbwa vidole, mwanadamu akaunda uma!Nzuri sana hii tamaduni ya kula pamoja ..wazungu wametuletea mila zao, atii kula kwa kijiko. ..duuu
umewaza nini mkuuHilo ni beche la mwendokasi.