Wafanyakazi wa kampuni zinazofanya shughuli za kitalii za Afrika ya Kusini wakipokewa kwa heshima na gwaride la Wamasai baada ya kuwasili kwenye hoteli ya Blue Bay Beach Resort, Kiwengwa Zanzibar ambapo walipata fursa ya kukagua hoteli hiyo na kuridhika kuwa Zanzibar ina uwezo mkubwa wa kupokea idadi kubwa ya watalii kwa wakati mmoja.
"Be honest nitajie lugha ya kabila yako kwanza " .kweu sisi tusio na lugha nyingine isipokuwa kiswahili huwa tunakitumia katika mithili ya misamiati au mafumbo na ndio maana kiswahili kina burudani yake ukiwa unakijuwa Usihahauutokako inamainisha kuwasifu hao jaama wa kimasai kwa kutunza tamaduni zao na adentiti zao ijapokuwa wamehamia katika nchi ambayo ina tamaduni na lugha ambayo imetafautiana sana na walizo zaliwa nazo na wanakotoka kwa kuongezea zaidi nitakupa mfano leo hii mpo wangapi lugha zenu za makabila hamtaki hata kuzisikia (ni veri a piti)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.