Karibu tena Prof. Mark Mwandosya...!

Afya(ugonjwa) wa mtu ni siri yake unless aamue mwenyewe!

Badili fikra!!! ni wajibu wa jamii kujua kilichomsibu kiongozi wao. Tutakuwa jamii ya watu wapuuzi kabisa kama tutaliacha hili kwenye hiari ya mwandosya.
 
Kama amekuwa fit mbio za uraisi CCM sasa zinogile! Ila aangalie sana, CCM bwana kuna watu ambao si wema kabisa. Pamoja na madudu mengi ya CCM, huyu jamaa ni mojawapo ya watu ninaowaheshimu sana kwamba wako serious katika mambo ya kazi.

"Amekuwa fit" alikuwa anaumwa nini?
 
Kama amekuwa fit mbio za uraisi CCM sasa zinogile! Ila aangalie sana, CCM bwana kuna watu ambao si wema kabisa. Pamoja na madudu mengi ya CCM, huyu jamaa ni mojawapo ya watu ninaowaheshimu sana kwamba wako serious katika mambo ya kazi.

Ni kweli mkuu. Kitendo hiki tu cha yeye kupewa fursa kusimama mbele kinaweza kuwa kimewaharibia wengine siku yao. Sidhani Pinda kama angeweza kuomba huyo fursa
 
''presidential hopeful'' ameshaanza press conference yake?........ndo saa tano hii
 

Sijui niseme Amen au? Hii ni sala tosha ya kuwaombea wabunge.
 
Mwisho amewashukuru Watanzania wote kwa kumtakia kheri,na amesema alipougua amegundua kuwa Wapinzani ni wenye upendo,mana hawakuangalia itikadi yake ktk kumuombea bali Utaifa wake kama Mtanzania

Katika kumfahamu kwang Mwandosya, siku zote msimamo wake kuhusu wapisani ulinitia shaka sana. Ikiwa imechukua kuugua kwake kuwa na mtazamo kama huu kuhusu wapinzani, basi ninaweza kusema hili ni jambo moja kati ya mengi yaliyo "positive" katika kuumwa kwake. Naweja hata kusema nitakuchukulia kuumwa kwake kama moja wapo ya njia ya kumfanya awe "humble" na mwenye busara zaidi. Nina ukakika kumemfungua macho na kumpa context mpya ya jinsi ya kushughulika na Watanzania wenzake. Kila la kheri Prof katika awamu yako ya pili kwenye dira za siasa. Japo kuumwa siku zote ni kubaya, ninaamini kwa dhati kabisa kuumwa kwako kumekufanya a much better and wiser leader.
 
Kama amekuwa fit mbio za uraisi CCM sasa zinogile! Ila aangalie sana, CCM bwana kuna watu ambao si wema kabisa. Pamoja na madudu mengi ya CCM, huyu jamaa ni mojawapo ya watu ninaowaheshimu sana kwamba wako serious katika mambo ya kazi.

Watamlimbokaaa!!!!
 

Amen..
 
Karibu tena baba baada ya kuugua zaidi ya mwaka.... Karibu sana Professor Mwandosya, Tupo nyuma yako mpaka pale mwenyezi mungu atakapoamua vinginevyo.

Tupo nyuma yake tunafanya nini? Tunapaswa kuwa naye bega kwa bega tunashirikiana naye kuendeleza nchi yetu!
 
Karibu sana prof.mwandosya mungu akulinde ili ulitumikie taifa lako bado linakuhitaji
 
Kama amekuwa fit mbio za uraisi CCM sasa zinogile! Ila aangalie sana, CCM bwana kuna watu ambao si wema kabisa. Pamoja na madudu mengi ya CCM, huyu jamaa ni mojawapo ya watu ninaowaheshimu sana kwamba wako serious katika mambo ya kazi.

Prof ni mtu makini hana makuu, makundi, siasa chafu, visasi, ni technocrat, mtekelezaji, mzalendo, ana uzoefu, mvumilivu na msikivu..huyu ndiyo Rais JMT inahitaji katika kipindi hiki cha historia yake.
 
Ni kigezo cha heshima tu kutokana na umri wake,ulitaka nimuite JEMBE?
Kama huna uhusiono jifunze kutumia vizuri hilo jina? upunguze utumwa wa fikra...
 
Prof ni mtu makini hana makuu, makundi, siasa chafu, visasi, ni technocrat, mtekelezaji, mzalendo, ana uzoefu, mvumilivu na msikivu..huyu ndiyo Rais JMT inahitaji katika kipindi hiki cha historia yake.

Prof kanifurahisha zaidi na nimeamini kwamba ni kweli huwa anamdharau dhaifu (jk), wakati anatoa shukrani hakumtaja dhaifu kama dr! Well done Prof!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…