hehehe mzee yussuf akiona hii sredi lazima kesho atoe singo jipya la tarabu, yaani fulu lyrics za rusha roho. nyinyi Afrodenzi na Lizzy ma make up yamepanda bei bana acheni kukasirika kizembe. na wewe mtummoja tunaomba uwasilishe jinsia yako kwa invizibo ili kama dume tukukabidhi aspirin kwa ushauri na kama jike mgogoro wako utashuhulikiwa na mimi. Asanteni kwa ushirikiano
Dah!!!!!Jamani jamani Klorokwin
silikwambia usiseme kwa nguvu
tukiwa tunaongea kuhusu Mr. T
SASA cheki atakavyokuja mita kutoka huko aliko..
Mmhhh
halaf skujua kwamba TF ni memba hai wa kikundi cha mchiriku cha jagwa. dah! juzi walikuwa wanapiga laiv chochoro za tandale. MC wao ana viatu vina marangi kama bendera ya Bukina Faso. Halaf Ze finest mwenyewe alikuwa kadondoka na jinzi belti kamba ya kitani. khaaa! Bwana Yesu asifiwe
Kudadadekiiiihalaf skujua kwamba TF ni memba hai wa kikundi cha mchiriku cha jagwa. dah! juzi walikuwa wanapiga laiv chochoro za tandale. MC wao ana viatu vina marangi kama bendera ya Bukina Faso. Halaf Ze finest mwenyewe alikuwa kadondoka na jinzi belti kamba ya kitani. khaaa! Bwana Yesu asifiwe
heheh jibu la kwanza: kama hauwezi kulitibu wewe lipeleke kwa mganga yoyote muhim huku kwa klorokwini lisikaribie getini.Fellow tablet:
Swali la kwanza: Kama ni dume mi nifanyeje haswa kwenye huo ushauri? (Umemhusisha mzee Yusufu, unamaanisha taarab?)
Swali la pili: Kwanini kama ni demu aje kwako
Swali la tatu: Nimesahau kudogo....Afrodenzi nisaidie kumuuliza ukilikumbuka.
umeimprove kweli siku hizi, inaonekana umeachana na cafe kabisa.Ankal ulimaanisha KULOG IN
khaaaa! hivi mbona hukunitaarifu kwamba uliachana na mkorogo?Make up za kazi gani wewe?Mafuta ya samli hayana bei!
There is no place like JF...! I wish hata kwenye ndoto tu itokee bonge la get together niwaone live wana fj wote.. will be the most happines man alive...lol
Welcome back Pearl n pole kwa matatizo.
heheh jibu la kwanza: kama hauwezi kulitibu wewe lipeleke kwa mganga yoyote muhim huku kwa klorokwini lisikaribie getini.
Jibu la pili: Nina Phd ya mzumbe nimesomea masaikolojia ya kinamama, wakifeki tu naelewa, mimi nikilala na mdada akifeki orgasm namwaibisha, kulalalaleki!
Jibu la tatu: Ulitaka kuuliza Keren Happuch yuko wapi? naomba usiulize, tuko honeymoon
hehehe! Halaf watu wanapewa ma award wakiperfom, hawa jamaa wanatupiwa lesso za kufuta jasho wakiperfom, dah! uswahilini bana.Hahahahahahahah..
Ndio maana kati zangu zot e
za kuoshea viumbo sizioni haha
Halafu sikuhizi ukimuuliza kitu jibu ni "it's dynamite"
Wamenifungia Fiber Optic kuna mzembe mzembe mmoja simuoni hapa sijui ameenda wapiumeimprove kweli siku hizi, inaonekana umeachana na cafe kabisa.
kwa jinsi nilivyoelewa naona kama hawa jamaa ugomvi huu sio wa leo ni wa zamani sana kutokana na kujumuishwa kwa thread za nyuma wana bifu ya muda mrefu! any way tuwaachie wenyewe ingawa haifurahishi kuona wana jf wakirumbana kwa lugha kali kihivyo!mie nadhani tungepingana kwa hoja za msingi!ambazo zitatusaidia mbele!
hehehe ukimaliza nishtue, namimi nimeamka na midadi kweli leo. atakaequote post yangu natongoza (NB: mabwabwa hawahusiki kwenye hii post)Swali la nyongeza:...Hivi......... damn nimesahau tena......
Ngoja nimtongoze AD kwanza.
Sasa BE mpendwa
Hiyo lugha ni MANDARINS AU MACHUNGWA?
yaani nilipoona jina lako hafla memori zikapotea, sjui hata nilikuwa nataka kucomment nini? khaaa! kweli mapenzi ukwaju, yakikukumba utajiju!Kilimasera naungana na wewe,hapa kuna kitu nyuma ya pazia lkn si vema kabisa.
Pearl karibu dearest naamini Mungu anaendelea kukufariji,,tuko pamoja.
hehehe kamanda hapo nilikusudia ile jinsia inayokwenda honeymoon mara moja kila mwezi bana! Hivi katiba ya famasi hauielewi basi hata katiba ya maternity umeforget?Klorokwini hapo juu, nimeogopa kuquote posti yako.
Namsubiri atakayekuquote nikusaidi kumtongoza....Angalizo.. atapaswa atumie Asprin kabla hajameza klorokwini.
yaani nilipoona jina lako hafla memori zikapotea, sjui hata nilikuwa nataka kucomment nini? khaaa! kweli mapenzi ukwaju, yakikukumba utajiju!