skate-board
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 489
- 575
Bado hujanijibu haya mkuuMkuu unapatikana dar sehemu gani?? Na je hizi simu ziko unlocked hazisumbui netwk hapa bongo??
Huseni Ali
Bado hujanijibu haya mkuuMkuu unapatikana dar sehemu gani?? Na je hizi simu ziko unlocked hazisumbui netwk hapa bongo??
Huseni Ali
Najua wanauza kununua new editionsKaka simu hata mererani. Hazitoki China ni simu ambazo watu wameuza kwaajili ya kununua new addition
Brother, warranty namaanisha iyo simu kwa tatizo lolote ambalo wewe hujachangia nakupa nyengine.Bado hujanijibu haya mkuu
Karibu kakaNajua wanauza kununua new editions
Nimeuliza dar unapatikana wapi?Karibu kaka
Labda kama pesa zako hazina kazi saaanawatu wanao nunua hawaongei sana na kuhoji hiwa wanajua bei za vitu na kitu wanachohitaji sio lazima ukawa unajibu kila swali mzee wengine ni kutiana hasira
Hahaahaha, eeeh Najua aisee ila ntajibu kila swali analouliza. Wanaotaka bidhaa na malipo washafanya Wala hawahojiwatu wanao nunua hawaongei sana na kuhoji hiwa wanajua bei za vitu na kitu wanachohitaji sio lazima ukawa unajibu kila swali mzee wengine ni kutiana hasira
Karibu ndugu. Ila cjui unaibiwaje ulimwengu huu wa fingerprints.Labda kama pesa zako hazina kazi saaana
Ndo maana wapigaji hawaishi na wapigwaji hamtaisha kamwe
hapa bwna pagumu,may be ungesema kuwa mzigo unafika mahal flan hiv unapo utuma kwa muhusika,au dreva wa gar akifikisha mzigo una mpa pesa yake unapewa mzigo wako mambo kwisha..pesa ww muuzaji na dreva mnakuja kujuana wenyewe..lakini kwa mfumo huu mtu anakuwa na nia ya kweli lakini akiwaza kutuma pesa kabla ya mzigo aisee watu wamelizwa sana.hebu fikilia wazo hiloMalipo first boss. Malipo baada kwa watu maalumu na wateja wa kila siku
Karibu mkuu. Kila mtu na mawazo yake uwe na siku njemahapa bwna pagumu,may be ungesema kuwa mzigo unafika mahal flan hiv unapo utuma kwa muhusika,au dreva wa gar akifikisha mzigo una mpa pesa yake unapewa mzigo wako mambo kwisha..pesa ww muuzaji na dreva mnakuja kujuana wenyewe..lakini kwa mfumo huu mtu anakuwa na nia ya kweli lakini akiwaza kutuma pesa kabla ya mzigo aisee watu wamelizwa sana.hebu fikilia wazo hilo
Dah mkuu hapa umenichanganya aisee,Ni kwamba bandari moja inakuwa na kilo 35 au umemaanisha nn????
Tafadhali hebu nyoosha maelezo fresh basi tufanye biashara niambie nikihitaji mzigo wa magazeti naupataje kwa kuonana na ww???
Je mna ofisi ambapo nikitaka mzigo naweza kuja kuchukua au biashara inafanyikaje?
daadekiUkitaka kula ukubali kuliwa sasa wanaotafuta fursa za biashara umeseme waende google na wew si uende uko google ukatafute wateja roho mbaya aijengi na dubai ilikua zamani sasa kaa na huo uchafu wako atununui na atukuulizi kitu.
Acha ufala wewe.......watu wanao nunua hawaongei sana na kuhoji hiwa wanajua bei za vitu na kitu wanachohitaji sio lazima ukawa unajibu kila swali mzee wengine ni kutiana hasira
Yeye pia anajibu maswali simple simple tuNaona bado watu wengi hawaamini amini hii biashara mkuu. Ingependeza kama wateja wa awali wangeleta mrejesho hapa ili iwe rahisi kuamini