Ifahamu Nchi ya United Arab Emirates

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,319
24,220
Wizara ya Mambo ya Nje ya Australia inaitambua Nchi ya United Arab Emirates ambayo ndani yake yapo majimbo saba : Abu Dhabi, Dubai, Sharjah, Ajman, Umm Al-Quwain na Fujairah huku jimbo la saba la Ras Al Khaimah ilijiunga na Shirikisho la UAE mwaka 1972. Huku mji mkuu wa nchi ya UAE ikiwa ni Abu Dhabi, mji uliopo ndani ya jimbo / emirate kubwa na tajiri zaidi ya nchi ya UAE .

Rais wa shirikisho la nchi ya UAE ni maulana sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan. Kiongozi wa jimbo la Dubai maulana sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum ni Makamu wa Rais pia ni Waziri Mkuu na Waziri wa nchi ya UAE

Mahusiano baina ya Australia na nchi ya UAE ni ya kirafiki, katika nyanja mbalimbali huku yakiendelea kukua.

Nchi ya UAE ushirikiano wake na Australia umewezesha nchi hiyo ya Australia kuwa ni mwekezaji mkubwa zaidi wa mitaji na biashara nchini UAE kuliko nchi yoyote ya Masharik ya Kati.


United Arab Emirates country brief​

Overview​

The United Arab Emirates (UAE) is situated in the Southeast of the Arabian Peninsula, bordering Oman and Saudi Arabia. In December 1971, the UAE became a federation of six emirates - Abu Dhabi, Dubai, Sharjah, Ajman, Umm Al-Quwain, and Fujairah, while the seventh emirate, Ras Al Khaimah, joined the federation in 1972. The capital city is Abu Dhabi, located in the largest and wealthiest of the seven emirates.
Since its Federation in 1971, the UAE has developed rapidly and is now noted for its modern infrastructure, international events and status as a trade and transport hub. In 2021, the UAE commemorated its Golden Jubilee, 50 years since federation.
The UAE will host the COP28 international climate summit in Dubai in 2023.

Political overview​

The President of the UAE is His Highness (HH) Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan. The Ruler of Dubai, HH Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum, is the Vice-President, Prime Minister and Defence Minister.
The UAE's federal structure includes a Supreme Council (comprising the Rulers of each Emirate), a Council of Ministers and Federal National Council. Each Emirate is governed by its own Ruler, with its own local government, courts and police forces.
The Federal National Council comprises 40 members, half of which are appointed and half elected. Elections were last held in October 2019 and for the first time the UAE implemented a requirement for 50 per cent of total members to be women. This requirement saw a significant increase in the number of female candidates. The Federal National Council has an advisory role and is a forum in which concerns of Emiratis are raised.
The UAE is a member of the Gulf Cooperation Council (GCC), the Arab League, the Organization of Islamic Cooperation, the United Nations (including UN Security Council member, 2022-23), the Organization of the Petroleum Exporting Countries, the Non-Aligned Movement and the World Trade Organization. The International Renewable Energy Agency, established in 2009, has its headquarters in Abu Dhabi.
On 15 September 2020, the UAE and Israel signed the Abraham Accords Peace agreement in Washington, DC.

Bilateral relations​

Bilateral relations between Australia and the UAE are friendly, multi-faceted and growing rapidly.

They are underpinned by extensive trade relations, and the UAE is Australia's largest Middle East trade and investment partner.

The two countries enjoy good defence, aviation, security and law enforcement cooperation, the latter underpinned by agreements on mutual legal assistance in criminal law matters and extradition.
Australia was among 192 participating countries at Expo 2020 Dubai, which ran from 1 October 2021 to 31 March 2022.

Expo 2020 provided a key platform for Australian companies to reengage with traditional partners and progress market diversification strategies, including the growth of exports into the Middle East and South Asia.

The Australian Ambassador to the UAE is based at the Australian Embassy in Abu Dhabi. Australia also has a Consulate-General/Trade Commissioner in Dubai.

State government offices representing New South Wales, Queensland, Western Australia, and Victoria are also based in the UAE.

People to people links​

People-to-people contacts have expanded rapidly on the back of the strong growth of direct air links. Prior to the COVID-19 pandemic restrictions, over 100 Emirates and Etihad flights per week operated between the UAE and Australia.

An estimated 15,000 Australians live and work in the UAE.

At the start of 2020, in response the severe Australian bushfire season, the UAE donated fire trucks and generators to several affected communities. On 16 January 2020, the Burj Khalifa, the world's tallest building which is located in Dubai, was lit up with the phrase ‘#mateshelpmates' as a sign of the UAE's support for bushfire response.

Economic overview​

The UAE is the Middle East's third largest economy, and one of the wealthiest countries in the region on a per capita basis. Its GDP in 2021 was estimated at US$410.2 billion, a real GDP growth rate of around 2.2 per cent.

The UAE has six per cent of the world's oil reserves and the seventh largest proven natural gas reserves. Petroleum exports were US$49.6 billion in 2019. In the medium term, oil and gas (which account for over two-thirds of exports and the bulk of government revenue) will continue to underpin the UAE's economy.

However, significant steps towards economic diversification have already been taken, with approximately 70 per cent of GDP now generated by sectors other than oil and gas. To celebrate 50 years of nationhood in 2021, the UAE launched 50 new economic initiatives to boost the country's competitiveness and attract US$150 billion in foreign direct investment over the next nine years.

Abu Dhabi, which has the vast majority of oil and gas reserves in the UAE, has made significant investments in establishing aerospace, nuclear power, defence, information technology (micro-processing), petrochemical and clean-tech industries – the latter most prominently represented by the multibillion-dollar initiative of Masdar City, a zero-carbon city outside Abu Dhabi.

Abu Dhabi is also investing heavily in educational institutions, and cultural and sporting attractions such as the Formula One racing track, Ferrari theme park, and the Louvre Abu Dhabi to diversify the economy away from oil and encourage tourism.

Dubai has also diversified into the exhibitions, events, ICT, re-export and financial sectors. Taking advantage of its position near the head of the Gulf, it has consolidated its historical reputation as a regional entrepôt. Dubai has developed luxury hotels, large port facilities (including Jebel Ali) and a range of free trade zones to attract both manufacturing and services industries.

The UAE population of 10.1 million (2022) depends substantially on its expatriate workforce, which made up about 88 per cent of the population in 2021. The UAE is also opening up utilities to greater private sector involvement. Several free trade zones across the country attract foreign investors, by offering full ownership and zero taxes.

The COVID-19 pandemic has had a significant impact on the UAE's economy, particularly due to the reduction in passenger numbers through air hubs, the reduction in tourist arrivals and the impact of COVID-19 measures on commerce. The UAE is expected to recover to pre-pandemic levels of economic activity over the next three years.

Trade and Investment​

On 17 March 2022, then Minister for Trade, Tourism and Investment Dan Tehan and HE Dr Thani bin Ahmed Al Zeyoudi, Minister of State for Foreign Trade, issued a joint statement announcing Australia and the UAE's intention to pursue a Comprehensive Economic Partnership Agreement (CEPA). DFAT consultations with stakeholders continue, and will inform the possible agreement and the Australian Government's approach to future negotiations.

The United Arab Emirates (UAE) is Australia's largest trade and investment partner in the Middle East. With $5.5 billion in two-way trade in 2021 (over $10 billion pre-COVID), the UAE is Australia's 18th largest export market globally for goods and services.

Exports to the UAE were worth $3.24 billion in 2021 and were dominated by red meat, transport services and machinery and automotive parts.

Australian imports from the UAE were worth $3.24 billion in 2021 (mainly petroleum products).

Services trade is an increasingly important component of the commercial relationship, including construction, financial and professional services, tourism and education. Education is seen as an area of potential growth, with several Australian institutions active in the UAE market, including: Wollongong University, which in 1993 was the first private university to establish a campus in Dubai; Murdoch University, which opened in Dubai in 2007; Curtin University, which opened in Dubai in 2018; the Australian International School Sharjah; the Victorian International School Sharjah; and a number of Australian institutions with partnerships with local institutions to deliver the Australian curriculum in-country.

Australia's commercial profile in the UAE is significant, with UAE-based Australian companies numbering over 300. Australian companies, institutions and capabilities are working in a range of industries, including steel trading, building, construction and financial services, banking services, materials and equipment, agricultural supplies and services, industrial minerals, dairy products, marine manufacturing, education and training services, sports and recreation, health services, livestock, oil field supplies, courier and freight services. Many companies use Dubai as a regional base, in view of its transport, financial and communications infrastructure.

UAE entities hold significant investments in Australia, including in the agribusiness, tourism, health and aged care and resources sectors.
In 2020, UAE investment in Australia was estimated at $11.6 billion according to ABS data.

The Abu Dhabi Investment Authority (ADIA), the world's fourth largest sovereign wealth fund, has invested in ports, the TransGrid electricity network and the Queensland Motorway project.

Other UAE sovereign wealth funds also have assets and are examining other investment opportunities in Australia.

Source : https://www.dfat.gov.au/geo/united-arab-emirates/united-arab-emirates-country-brief
 
13 June 2023

Dkt. Denis Muchunguzi - Dubai ni Nchi Kamili watu wasipotoshwe



Mjadala unaohusu Mkataba wa ushirikiano wa uendeshaji Bandari unaohusisha Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World umeendelea kushika kasi kwa wadau mbalimbali kujitokeza kutolea maoni na mtazamo wao kuhusiana na jambo hilo linalogusa hisia za wengi kwasasa, miongoni mwa waliojitokeza kulizungumzia ni pamoja na Mchambuzi maarufu wa masuala ya Siasa, Jamii na Uchumi Dkt.Denis Muchunguzi ambaye amewaeleza Wanahabari kuwa zipo kasoro ambazo zinarekebishika kwenye baadhi ya vipengere vya Mkataba huo, hata hivyo amesisitiza kuwa si kweli kuwa mkataba huo haufai kabisa kama inavyoelezwa na baadhi ya watu.
Source : Jambo TV

Je wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania ina maoni gani juu ya hoja kuwa Dubai siyo nchi bali ni jimbo / state/ Emirati mojawapo katika nchi ya UAE United Arab Emirates
 
Ubalozi ya UAE nchini Tanzania

About The Embassy
  • The Ambassador. H.E. Khalifa AbdulRahman Al Marzouqi.
  • Phone Number. 00255225522222.
  • Fax. (+255) 22 260 0919.
  • Email. daralsalamemb@mofaic.gov.ae.
  • Address. Toure Dive, Msasani, Plot 375, Dar es Salaam.
  • Working Hours. From: 08:00. To: 15:00.
  • Weekend Days. Saturday and Sunday.
  • Citizens Affairs. 0097180024.
 
Ubalozi wa Tanzania nchini UAE upo Abu Dhabi

Luteni Jenerali Yacoub Mohamed balozi wa Tanzania nchini UAE.

1686701137283.png


1686700804090.png

Embassy of the United Republic of Tanzania Abu Dhabi, Al Manhan Al Walidain Street Villa No. 31, P.O. Box 43714, Abu Dhabi, UAE ; Tel
 
13 June 2023

Dkt. Denis Muchunguzi - Dubai ni Nchi Kamili watu wasipotoshwe



Mjadala unaohusu Mkataba wa ushirikiano wa uendeshaji Bandari unaohusisha Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World umeendelea kushika kasi kwa wadau mbalimbali kujitokeza kutolea maoni na mtazamo wao kuhusiana na jambo hilo linalogusa hisia za wengi kwasasa, miongoni mwa waliojitokeza kulizungumzia ni pamoja na Mchambuzi maarufu wa masuala ya Siasa, Jamii na Uchumi Dkt.Denis Muchunguzi ambaye amewaeleza Wanahabari kuwa zipo kasoro ambazo zinarekebishika kwenye baadhi ya vipengere vya Mkataba huo, hata hivyo amesisitiza kuwa si kweli kuwa mkataba huo haufai kabisa kama inavyoelezwa na baadhi ya watu.
Source : Jambo TV

Dubai si nchi, bali jiji na jimbo la biashara na anasa katika nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates - UAE), kwa Kiswahili hufupishwa Himarati.
 
14 May 2014

Mabalozi wa kiTanzania waliopata kuhudumu ubalozi wa Tanzania katika nchi ya UAE akiiwakilisha pia nchi ya Tanzania katika za Pakistan, Iran na Bahrain toka May 27, 2013 - Nov, 2019 kutokea makao yake ya ofisi ya ubalozi ya Tanzania mjini Abu Dhabi UAE ni pamoja na naibu waziri wa sasa wa Mambo ya Nje wa Tanzania Mhe. balozi Mbarouk Nassor Mbarouk

Picha toka maktaba :

Ubalozi wa Tanzania Katika Umoja wa Falme Za Kiarabu (UAE) Washerehekea Sherehe za Miaka 50 Muungano wa Tanzania​

Balozi wa Tanzania katika Umoja wa Falme za Kiarabu,Mhe. Mbarouk Nassor Mbarouk (kushoto) akimpokea mgeni rasmi wa sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano Tanzania, Mheshimiwa Dr. Hadef Jawa’n Al Dhaheri, Waziri wa Sheria wa UAE,katika hafla iliy Balozi wa Tanzania katika Umoja wa Falme za Kiarabu,Mhe. Mbarouk Nassor Mbarouk (kushoto) akimpokea mgeni rasmi wa sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano Tanzania, Mheshimiwa Dr. Hadef Jawa’n Al Dhaheri, Waziri wa Sheria wa UAE,katika hafla iliy

Balozi wa Tanzania katika Umoja wa Falme za Kiarabu,Mhe. Mbarouk Nassor Mbarouk katika sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano Tanzania, katika hafla iliyofanyika hivi karibuni katika Hoteli ya Intercontinental,Abu Dhabi

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk ambaye siku za nyuma aliwahi kuiwakisha nchi ya Tanzania kama balozi wa Tanzania nchini UAE
 
Back
Top Bottom