Karibu mjumbe mpya ktk jukwaa hili la jf.

Karibu mjumbe mpya ktk jukwaa hili la jf.

D 2de A

Senior Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
183
Reaction score
32
Wadau wote wa hii site Napenda kuwajulisha kuwa mie ni mgeni ktk hii site, hvy naombeni Ushirikianoni wenu wa dhati km MAGREAT THINKERS ktk kupashana, kujadili nakudadavua mada mpya zinazogusa jamii yetu. viva Jf.
 
Karibu sana hapa ndio umefika jf ina kila kitu utapata maushauri mengi tu nawe usiache kutoa mawazo yako pindi uonapo post zinazokugusa/ zinazogusa jamii yetu . Tupo pamoja
 
Jf ndiyo kila kitu kwetu,huwezi kuwa na stress unapo log in na sio out.where we dare to talk openly
 
Wadau wote wa hii site Napenda kuwajulisha kuwa mie ni mgeni ktk hii site, hvy naombeni Ushirikianoni wenu wa dhati km MAGREAT THINKERS ktk kupashana, kujadili nakudadavua mada mpya zinazogusa jamii yetu. viva Jf.

Karibu sana wewe jiachie tu....
 
Karibu sana

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Karibu sana, hapa ndio mtoni usipokuja kuoga utakuja kunywa, kama sio kunywa utakuja kunywesha ng'ombe......
 
Karibu sana,ila vumilia tu na michano ya humu.ila kuwa na tahadhar za ban wengne humu wapo kutafutia watu ban watupoteze
 
Back
Top Bottom