Karibu Lamu

naskia sifa ya lamu wasichana huachwa wakitembembea wavulana huchungwa kisa ni Sodoma na gomora ya pili.
 
Embu fungukeni kuhusu wanawake wa huko kama wanao lewa na makabila mengine tuchangamkie fursa
 
Mm nataka kwenda lamu,naomba utaratibu na gharama zakufika na kuishi huko ukoje,je huduma za kijamii kama hotel za kawaida na vyakula umekaaje,naomba majibu kwa kwenye uwelewa wa lamu
 
View attachment 463385

Lamu
ni mji mkubwa katika kisiwa cha Lamu kwenye pwani ya Kenya. Ina wakaazi takribani 10,000. Mji pia ni makao makuu ya Wilaya ya Lamu na Jimbo gatuzi la Lamu.

Mji upo upande wa kaskazini-mashariki mwa kisiwa kando na mkondo unaotenganisha visiwa vya Lamu na Manda. Mkondo huu ni bandari asilia inayohifadhiwa na dhoruba na mawimbi makali ya bahari.

Mji wa Lamu
Lamu lina umbo la kanda ndefu mwambaoni. Mji wa kale umegawiwa kwa mitaa arobaini lakini kuna sehemu mbili hasa - Mkomani upande wa kaskazini penye nyumba kubwa ya mawe na Langoni upande wa kusini ambako wakazi wageni walijenga nyumba za udongo.

Jengo kubwa la mji ni ngome lililioko ufukweni.

Mwambao wa leo umepatikana tu karne ya 19. Mwambao wa kale unaonekana kwa barabara ya Harambee (au: Usita wa Mui). Wakati wa kujenga ngome ufukweni. Enzi za jadi ilikuwa na maji yenye kina kidogo hivyo ikaamuliwa kujaza sehemu hizi na kupanua eneo la mji kuingia ufuoni. Watu wenye uwezo walijenga nyumba zao kubwa na ufuo ukahimarishwa kwa ukuta.
Nimepapenda Lamu one day I will be there In shaa allah
 
Sio siri, waarabu na wazungu kweli walivuruga watu na kisiwa, na si wajuwa waarabu na mambo yao ya kihuni;), anyway twashukuru mko poa, heri mrudi kwenye ubantu wenu, acheni ukristu na uislamu kuonyesha mababu zenu walikuwa na mila, tamaduni na dini yao..kila la heri Lamu..
 
Shairi linaloonyesha lahaja ya Kibajuni ambalo limeathiri kwa Kiasi kikubwa mno Kiswahili tuzumzacho leo.

Chwali varefu varefu, afiya dhechu ni shani

Tena vachu vatukufu, huruma tele imani

Miyi echu mikundufu, kwa bara na baharini

Sasa chumekuva dufu, hachupachi hata peni


Mwandishi ni ndugu yenu
Mbwara Masuo
 
lamu52f.jpg
lamu52c.jpg
lamu52d.jpg
lamu52e.jpg
lamu52f.jpg
lamu52f.jpg
lamu52c.jpg
lamu52d.jpg
lamu52e.jpg
lamu52e.jpg
lamu52f.jpg
lamu52f.jpg
lamu52c.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom