miaka kadhaa ijayo, watoto wengi watakuwa legelege kwa sababu watakuwa wanacheza zaidi na kompyuta(games, facebook, etc) kuliko kucheza kombolela, mpira, kukimbizana n.k. Hii itafanya kuwa na miili legelege. Elimu pia itakuwa mtu anafikiria kwa msaada wa google. Fikra zitakuwa finyu. Ewe mzazi, jaribu kumwongoza mwanao awe kichwa katika kizazi hicho hatari.
Vijana wengne watazidi kuharibika kwa kutotaka kufanya kazi lakin watataka kuishi katika level ya maisha ambayo hawaendani nayo.
Niwatakie jumapili njema.
Vijana wengne watazidi kuharibika kwa kutotaka kufanya kazi lakin watataka kuishi katika level ya maisha ambayo hawaendani nayo.
Niwatakie jumapili njema.