Karibu baby sis

Karibu baby sis

Hizo za kwenye ule uzi hazihusiani wala na hiyo mikwara.

Ule mkwara naona ni mimi kucheka na Mr Mang'ombe 😂😂😂
Na alikuwepo anachat jukwaani humu..kisa mtu anagombana naye huko basi anataka kila mtu amaninie mang'ombe jamani.
Sielewi hata sababu nini,napokea vitisho eti niache ujinga...sasa sijui hapo nani ni mjinga.

Ule uzi bhana weee
Ngoja Cocastic shos mwamba wa miamba,Warumi wetu wa group atakuletea umbea.
Ila huyo aliyekupiga mikwara ndo kanichekesha 😂😂😂
Sasa tusicheke watu wa Mungu tunune midomo inuke?! Akwendree zake akafie mbele uko
Na huo uzi unaonekana ulikuwa moto sana?!! Haya mnipe hata intro bac
Wee udugu cocastic njoo nasikia ww ndio umerithi mikoba ya warumi 🤣🤣🤣
 
Ila huyo aliyekupiga mikwara ndo kanichekesha
Sasa tusicheke watu wa Mungu tunune midomo inuke?! Akwendree zake akafie mbele uko
Na huo uzi unaonekana ulikuwa moto sana?!! Haya mnipe hata intro bac
Wee udugu cocastic njoo nasikia ww ndio umerithi mikoba ya warumi
Yaani acha tu

.......
Hayo mengine ya Uzi kufungwa ngoja aje Coca atakuhadithia.
 
Mama yangu mpendwa sana Joannah me sio laghai,
hapana, hiyo nakataa kabisa na wala usiwatie hofu na kuwapotosha wapendwa katika Yesu....
Mini ni The Mission from the Living God...
Mungu akubariki sana mpendwa 😘
Mmmmmmmmh am worried 🤔🤔🤔🤔 and worry is intelligence 😁😁😁😁
 
Kaandike kitabu chako au makala yako kwenye gazeti. hapa upo JF.

Mwemye kujuwa uandishi haandiki ujinga na akielekezwa anakuwa msikivu.

Maona umebadili. Nipe japo ahsante.
Shangazi Mimi ni mwerevu,na sijaandika ujinga maana huko shule sijasomea ujinga,Mimi ni mwanazuoni ninaelewa ninachoandika na ninachomaanisha....ujinga ni kumkosoa na kumrekebishia Mtu maandishi yake bila kumuuliza alichomaanisha......Hao waliobadilisha wamesomea ujinga huko mashuleni maana walitakiwa kabla ya kubadilisha waniulize nilimaanisha nini wao wanekurupuka...
NB:sijabadilisha Mimi na huo ndio msimamo wangu wamebadili hao watu wako ....
 
Sasa nimeambiwa kuwa eti huyu bi dada amejifungulia uzi mwenyewe eti yeye ni qute wife
Yes! Lamomy ni Cute wife,ni mke wa Country wizzo,ila aliyefungua Uzi ni Mimi dada yake,Kwa kuwa nimefurahi amerudi....halafu mbona wewe Huwa hupigwi ban,mbona na wewe mdomo wako umechachuka sana😄😄😄
 
Mmmmmmmmh am worried 🤔🤔🤔🤔 and worry is intelligence 😁😁😁😁
Hebu check 1Pet:3:13-18 ikupe ujasiri na uondokane na iyo hofu lakini zaburi:23 ikutegemeze zaidi Mama yangu mpendwa sana...

ni vizuri sana kua na hofu hata wanafunzi wa Yesu iliwakumba dhoruba kule baharini walipoteana kabisa aisee kwasababu ya hofu....

Mungu ni Mwema sana kwangu,kwako na kwa wapendwa 🤓
 

Attachments

  • IMG-20240121-WA0020.jpg
    IMG-20240121-WA0020.jpg
    43.8 KB · Views: 6
Yes! Lamomy ni Cute wife,ni mke wa Country wizzo,ila aliyefungua Uzi ni Mimi dada yake,Kwa kuwa nimefurahi amerudi....halafu mbona wewe Huwa hupigwi ban,mbona na wewe mdomo wako umechachuka sana😄😄😄
Wewe usiniombe ubaya halafu jibu swali langu tafadhali
 
Back
Top Bottom