Karibia mtaa mzima Sinza A tumeibiwa

Hamia Nyumba zenye madirisha safi ya vioo huo ushamba wa kukaa Nyumba wamebandika manyamvu utazani banda la kuku!! Kama ni Nyumba yako toa huo uchafu weka kioo
 
Duh unatufundisha kukojolea kwenye beseni usiku tukiamka? Acha tabiya ya kishamba ya kukojowa kwenye makopo!! Unalala na maji chumbani kwenye beseni Wewe samaki?
 
ANAYEJUA JINSI YA KUJIKINGA”
Hilo ombi ni kuwa fungeni hidden cctv
Hata kwa mchango kila nyumba
Wekeni camera ndio dawa ya majizi
Mambo ya sungusungu yalishapitwa sasa ni camera tu
Camera zitaondolewa wakiiba kama kule Dodoma kwa lisu
 
Wengine tumepangosha chumba tu au chumba na sebule. Ukiongea habari ya grill meenyenyumba snasema at your own cost
 
Acha ungese wewe, ina maana wakati mnapanga kwenda kuiba Sinza mlikubaliana sababu Sinza kumejaa mashoga? watu wapo serious wewe unaleta kashfa na matusi? Tumia hekima kwa kuwapa pole wahanga na kuchangia nini kifanyike.
sinza mapunga kibao
 
simu weka chini ya mto,kitanda chako kichwa kiwe upande wa dirisha,hatoweza kuchukua simu wala laptop
 
Ushaambiwa nyumba za kupanga...
kubananisha nondo ni gharama...
 
Kuna kipindi hili suala la dawa ya usingizi lilijadiliwa hapa JF. Ufumbuzi ukawekwa hapa jukwaani. Ni hivi, kwa kawaida maji yanafyonza hewa yenye sumu inayopulizwa na kama yataachwa wazi bila kufunikwa yanawezasaidia kuifanya hiyo dawa ishindwe kutoa kusudio lake. Wadau walishauri tukilala tuache ndoo ya maji wazi. Mimi najitahidi sana kutekeleza kufata huo ushauri ili kujilinda. Ingawa sijapata mrejesho wa mtu aliyeacha ndoo ya maji wazi na kuibiwa kwa kupuliziwa dawa ya usingizi, basi yawezekana kuna ukweli na uhalisia katika hilo!
 
Msiwe mnalala bila ya kuwa na chombo cha wazi chenye maji mfano beseni ndogo iwe imejaa maji wakipuliza huwa inavuta yote na haiwaathiri
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…