ONGEA NAWO VIZURI TWO WATA KUELEWAJamani wana MMU uongo mbaya dar ukitaka warembo wakila aina basi uwende kariakoo mtaa wa Congo, Agrey na mtaa wa msimbazi, ila kwa mwenge nyakati za jioni pale stendi Jamani ni tuache masihara watoto wazuri balaa, tatizo moja tuu kila ukijaribu unaonekana tapeli, hakuna anaekwamini hata kidogo.
nowadays hakuna anaeaminika pale ktk hayo maeneo. Jana Leo na siku zote zilizopita huwa najaribu sana ndowano ila unaonekana tapeli. Nyie mliofanikiwa kuopoa warembo mitaa hiyo tupeni mbinu mbadala aisee.
Naomba namba yake jamaa anafaa huyoNilikuwaga na jamaa yangu fundi kucha pale nimemset akawa ananitumia namba zao aisee niligonga mpaka basi
Kabla ujajibiwa we ni mwanaume wa dar au wa Mkoani?Jamani wana MMU uongo mbaya dar ukitaka warembo wakila aina basi uwende kariakoo mtaa wa Congo, Agrey na mtaa wa msimbazi, ila kwa mwenge nyakati za jioni pale stendi Jamani ni tuache masihara watoto wazuri balaa, tatizo moja tuu kila ukijaribu unaonekana tapeli, hakuna anaekwamini hata kidogo.
nowadays hakuna anaeaminika pale ktk hayo maeneo. Jana Leo na siku zote zilizopita huwa najaribu sana ndowano ila unaonekana tapeli. Nyie mliofanikiwa kuopoa warembo mitaa hiyo tupeni mbinu mbadala aisee.
Tembea na begi la hela mkuuJamani wana MMU uongo mbaya dar ukitaka warembo wakila aina basi uwende kariakoo mtaa wa Congo, Agrey na mtaa wa msimbazi, ila kwa mwenge nyakati za jioni pale stendi Jamani ni tuache masihara watoto wazuri balaa, tatizo moja tuu kila ukijaribu unaonekana tapeli, hakuna anaekwamini hata kidogo.
nowadays hakuna anaeaminika pale ktk hayo maeneo. Jana Leo na siku zote zilizopita huwa najaribu sana ndowano ila unaonekana tapeli. Nyie mliofanikiwa kuopoa warembo mitaa hiyo tupeni mbinu mbadala aisee.
Ewalaaaaaa Mke wa kuoa kabisa mkuu lakini lazima uanze na moja kumpata kuwa nae kumjua hivyoo ndio maana nasema namna ya kuanza ktk maeneo hayo ili akuone nimtu salamaSijajua fika malengo yako ya kutupia ndoano ni yapi, kupata mwanamke wa kuja kuwa mke wako au kufanya uzinzi.
Kama ni kutafuta mke ongeza bidii ila kama ni uzinzi hiyo biashara hailipi, ni ujinga na kukosa kazi.
unajishtukia mkuu, wee mtoe tafuta eneo pateni japo lunch or chai atakuja mwenyewe mnamalizana hapo hapo, mie hata nikikutana kwenye daladala namalizana nae hapo hapo na hasa tukae siti 1, kama nimemind narekebisha hapo hapo akitoa namba ya simu basi jioni ni mahesabu,Ila tatizo ni namna gani kukwamini coz mwanzo mgumu sanaa