Kariakoo msimu huu wa sikukuu hapapitiki

menny terry

JF-Expert Member
Mar 18, 2011
509
667
Wakuu kwema?

Leo nimepita kkoo kufanya manunuzi ya sikukuu! Aiseee kwanza kkoo imebadilika sana kwa Maana ya maghorofa mapya kila kona, nimeambiwa wakinga ndiyo wanaonunua nyumba Na kuporomosha maghorofa lakini pia nyomi iliyokuwepo kule ni balaa!

Hapapitiki aisee. Kila kitu kinauzwa kule yaani hakuna unachoweza kukosa kkoo ila tatizo ni hiyo nyomi. Kila mtaa uko busy balaa.

Nashauri angalia Kwa hii clip yangu hapo chini then ndo uamue kama unaenda kkoo au utasubiri kwanza hadi sikukuu zipite. Nawasilisha.

 
Nikawaida kwa siku za sikukuu hasa za eid huwa watu wanakuwa wengi sana mie nilipita na nilitaka kwenda maeneo ya ufundi kilwa road ila barabara ilivyokuwa imejaa watu nikabadilisha mwelekeo maana kero yake si ndogo.
 
Nikawaida kwa siku za sikukuu hasa za eid huwa watu wanakuwa wengi sana mie nilipita na nilitaka kwenda maeneo ya ufundi kilwa road ila barabara ilivyokuwa imejaa watu nikabadilisha mwelekeo maana kero yake si ndogo.

Kaka acha kabisa ni braaa!!! Leo nimekoma aisee!! Nyomi iliyokuwepo kule ni braa.
 
Lipia tangazo mkuu

Mkuu una mawazo mgando sana! Uelewa wako ni mfinyu sana, hilo sio tangazo! Nime share taarifa ya kile nilichokiona kkoo ili kutoa mwanga Kwa wote wenye matazamio ya kwenda kkoo kwa sasa.
 
Wakuu kwema?

Leo nimepita kkoo kufanya manunuzi ya sikukuu! Aiseee kwanza kkoo imebadilika sana kwa Maana ya maghorofa mapya kila kona, nimeambiwa wakinga ndiyo wanaonunua nyumba Na kuporomosha maghorofa lakini pia nyomi iliyokuwepo kule ni balaa! Hapapitiki aisee. Kila kitu kinauzwa kule yaani hakuna unachoweza kukosa kkoo ila tatizo ni hiyo nyomi. Kila mtaa uko busy balaa. Nashauri angalia Kwa hii clip yangu hapo chini then ndo uamue kama unaenda kkoo au utasubiri kwanza hadi sikukuu zipite. Nawasilisha.

Kwahiyo unataka kusema IDD itaifunika pasaka???
 
Nikawaida kwa siku za sikukuu hasa za eid huwa watu wanakuwa wengi sana mie nilipita na nilitaka kwenda maeneo ya ufundi kilwa road ila barabara ilivyokuwa imejaa watu nikabadilisha mwelekeo maana kero yake si ndogo.

Alafu changamoto ni kuwa huwezi hata kusogeza mguu! Nyomi ya watu ni kubwa mno.
 
Wakuu kwema?

Leo nimepita kkoo kufanya manunuzi ya sikukuu! Aiseee kwanza kkoo imebadilika sana kwa Maana ya maghorofa mapya kila kona, nimeambiwa wakinga ndiyo wanaonunua nyumba Na kuporomosha maghorofa lakini pia nyomi iliyokuwepo kule ni balaa! Hapapitiki aisee. Kila kitu kinauzwa kule yaani hakuna unachoweza kukosa kkoo ila tatizo ni hiyo nyomi. Kila mtaa uko busy balaa. Nashauri angalia Kwa hii clip yangu hapo chini then ndo uamue kama unaenda kkoo au utasubiri kwanza hadi sikukuu zipite. Nawasilisha.


Hilo soko si liliungua?!
 
Si walisema Bodaboda/Bajaji marufuku kuingia mjini, au Kariakoo sio mjini?

Maana naona Bodaboda na Bajaji za kumwaga kama kawa
 
Wakuu kwema?

Leo nimepita kkoo kufanya manunuzi ya sikukuu! Aiseee kwanza kkoo imebadilika sana kwa Maana ya maghorofa mapya kila kona, nimeambiwa wakinga ndiyo wanaonunua nyumba Na kuporomosha maghorofa lakini pia nyomi iliyokuwepo kule ni balaa! Hapapitiki aisee. Kila kitu kinauzwa kule yaani hakuna unachoweza kukosa kkoo ila tatizo ni hiyo nyomi. Kila mtaa uko busy balaa. Nashauri angalia Kwa hii clip yangu hapo chini then ndo uamue kama unaenda kkoo au utasubiri kwanza hadi sikukuu zipite. Nawasilisha.

Mzee baba naona umeamua kutafuta Views kitaalamu
Haya banah kwangu mm umefanikiwa mkuu, maana umeninasa!

Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom