Kwa mara ya kwanza leo hii nimefika stendi mpya ya Magufuli, hakika inastahili kubeba heshima ya Jemedari wetu Dr. JPM, nimeshuka tu nilidhani nimefika South Africa! ni nzuri sana na kubwa, ya kisasa!
Movements niliyoiona ni kama vile Kariakoo yote imehamia Mbezi!
Stendi hii imebadilisha kila kitu hapa, abiria ni wengi sana!
Hakika baada ya mwaka mmoja kutakuwa na uwekezaji mkubwa sana maeneo ya Mbezi na viunga vyake.
Nadhani ni muda kwa wafanyabiashara wenzangu kuwekeza ktk maeneo haya maaa a abiria wengi haswa wafanyabiashara wanatarajia kupata mahaitaji/bidhaa zote hapa hapa badala ya kwenda K/Koo.
"K/Koo imehamia Mbezi mwisho na viunga vyake".
Fursa ya kufanya biashara kwa sasa iko mbezi.
Tuwekeze Mbezi Mwisho.
Movements niliyoiona ni kama vile Kariakoo yote imehamia Mbezi!
Stendi hii imebadilisha kila kitu hapa, abiria ni wengi sana!
Hakika baada ya mwaka mmoja kutakuwa na uwekezaji mkubwa sana maeneo ya Mbezi na viunga vyake.
Nadhani ni muda kwa wafanyabiashara wenzangu kuwekeza ktk maeneo haya maaa a abiria wengi haswa wafanyabiashara wanatarajia kupata mahaitaji/bidhaa zote hapa hapa badala ya kwenda K/Koo.
"K/Koo imehamia Mbezi mwisho na viunga vyake".
Fursa ya kufanya biashara kwa sasa iko mbezi.
Tuwekeze Mbezi Mwisho.