kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,008
- 13,513
Hatujui ni kwasababu gani Karia anajivunia mafanikio ya soka yaliyopatikana wakati wa kipindi cha cha miaka 4. Binafsi sioni mafanikio ya soka kwenye kipindi chake zaidi ya Karia kuhakikisha kuwa Simba inakuwa bingwa kwa kipindi chake chote na inafanya vizuri kwenye mashindano ya African Champions Cup. How?
Baada ya Karia kuingia madarakani TFF,
1. Simba ilirahisishiwa kuingia kwenye mfumo mpya wa uendeshaji wa club bila kufuata njia zote zinazotakiwa bila kupewa adhabu yoyote.
2. Baada ya Simba kuonekana kuwa ina pesa za kusajili kuliko vilabu vingingine kwenye ligi, Simba ilirahisishiwa kusajili wachezaji 10 wa kigeni.
3. Simba ilirahisishiwa kumpata mchezaji yeyote waliyemtaka akiwemo Morrison bila kufuata kanuni.
4. Simba ilipangiwa ratiba kwenye ligi ambayo ni rafiki sana, yaani iliruhusiwa kuwa na viporo hadi 9 kwenye ligi.
5. Simba haikuathiliwa na maamuzi ya waamuzi viwanjani.
6. Alihakikisha kuwa Simba haina malalamiko yoyote kwa TFF
Hali hii ilisababisha Simba iwe comfortable kwenye mashindano yote iliyoshiriki wakati wote wa Bw Karia. Simba ilikuwa comfortable hata pale muda wa mechi yake Na Yanga ulipobabadilishwa ghafla bila kutolewa sababu za maana.
Siwezi kusema wakati wa kipindi chake nchi ilipiga hatua kwenye mpira, lahasha, sema tu alipata bahati akakuta viongozi wengi wa serikali ni wanachama au shabiki wa Simba.
Baada ya Karia kuingia madarakani TFF,
1. Simba ilirahisishiwa kuingia kwenye mfumo mpya wa uendeshaji wa club bila kufuata njia zote zinazotakiwa bila kupewa adhabu yoyote.
2. Baada ya Simba kuonekana kuwa ina pesa za kusajili kuliko vilabu vingingine kwenye ligi, Simba ilirahisishiwa kusajili wachezaji 10 wa kigeni.
3. Simba ilirahisishiwa kumpata mchezaji yeyote waliyemtaka akiwemo Morrison bila kufuata kanuni.
4. Simba ilipangiwa ratiba kwenye ligi ambayo ni rafiki sana, yaani iliruhusiwa kuwa na viporo hadi 9 kwenye ligi.
5. Simba haikuathiliwa na maamuzi ya waamuzi viwanjani.
6. Alihakikisha kuwa Simba haina malalamiko yoyote kwa TFF
Hali hii ilisababisha Simba iwe comfortable kwenye mashindano yote iliyoshiriki wakati wote wa Bw Karia. Simba ilikuwa comfortable hata pale muda wa mechi yake Na Yanga ulipobabadilishwa ghafla bila kutolewa sababu za maana.
Siwezi kusema wakati wa kipindi chake nchi ilipiga hatua kwenye mpira, lahasha, sema tu alipata bahati akakuta viongozi wengi wa serikali ni wanachama au shabiki wa Simba.