Karatu kuna hoteli za kutosha kupokea timu 4?

Karatu kuna hoteli za kutosha kupokea timu 4?

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
5,750
Reaction score
7,459
Sijawahi kufika karatu kwa siku za karibuni.Timu za taifa 3 zitakuwa hapo kucheza michezo ya cecafa,naulizia kwa mliopo huko,je kuna hoteli zenye hadhi kupokea ugeni mkubwa huo?
 
Karatu kuna hotel nyingi tena expensive sana, pale madon wakija kutalii ndio destination yao
 
Sijawahi kufika karatu kwa siku za karibuni.Timu za taifa 3 zitakuwa hapo kucheza michezo ya cecafa,naulizia kwa mliopo huko,je kuna hoteli zenye hadhi kupokea ugeni mkubwa huo?
Nilipita hapo mara ya mwisho mwaka 2001, miaka hiyo palikuwa hovyo sana ila naskia pamebadilika mno.
 
Karatu ipi unaizungumzia hoi karatu ilyojaa mahoteli maku wa ya kitalii au karatu nyingine??? Pale karatu kabury tu Ana lodge 3 za hadhi ya nyota 3! Karatu kuna hotel kali za kitalii kuliko hats Singida, Tabora na Shinyanga combined
True. Watalii wanaoeenda ngorongoro na Serengeti wanalala karatu. Kuna lodge za nyota tatu zaidi ya 80.
 
Hata hivyo baada ya kuangalia miundo mbinu ya Karatu, timu ya Harambee Stars imejiondoa hivyo watarejea nchini Kenya leo na kuendelea na maandalizi ya CHAN.

TOKA MAKTABA :
The Harambee Stars officially commenced their residential camp today in preparation for the upcoming CHAN 2024 tournament. The squad was formally welcomed to camp on Thursday, 10 July 2025, by Sports Cabinet Secretary Hon. Salim Mvurya, Principal Secretary Elijah Mwangi, FKF President Hussein Mohammed, and other dignitaries...


View: https://m.youtube.com/watch?v=QNEB6XMoUlQ
 
Sijawahi kufika karatu kwa siku za karibuni.Timu za taifa 3 zitakuwa hapo kucheza michezo ya cecafa,naulizia kwa mliopo huko,je kuna hoteli zenye hadhi kupokea ugeni mkubwa huo?
Karatu kuna hadi Hotel za Nyota tatu na nyota tano na Hotel za Kitalii za kutosha kabisa. timu ziende tu.
 
True. Watalii wanaoeenda ngorongoro na Serengeti wanalala karatu. Kuna lodge za nyota tatu zaidi ya 80.
Hoteli za nyota 3 Zaidi ya 80 Karatu?
Zitaje Hizo Hoteli za nyota 3 tuone, taja 15.

Hoteli zipo lakini usiseme za nyota 3 ziko zaidi ya 80.
 
Sijawahi kufika karatu kwa siku za karibuni.Timu za taifa 3 zitakuwa hapo kucheza michezo ya cecafa,naulizia kwa mliopo huko,je kuna hoteli zenye hadhi kupokea ugeni mkubwa huo?
Unaijua karatu ya Mkoa wa Arusha au unasikiagasiakiaga ,Karatu ni mji mwingine zadi hata ya dodoma ,Mbeya na Mwanza Hiyo mikoa haioni Ndani
 
Karatu kuna hadi Hotel za Nyota tatu na nyotbasi safi sana timu zishafikaa tano na Hotel za Knaletabutani badala ya kutoa majibuitalii za kutosha kabisa. timu ziende tu.
watu wanaleta mzaha kwa hoja yangu iliyotaka kuelewa
 
Hoteli za nyota 3 Zaidi ya 80 Karatu?
Zitaje Hizo Hoteli za nyota 3 tuone, taja 15.

Hoteli zipo lakini usiseme za nyota 3 ziko zaidi ya 80.
Nimeangalia trip advisor zipo nyingi 3 star, maybe 80 nimeexgrate
 
Back
Top Bottom