Karate

Mar 19, 2017
51
17
Nina umri wa miaka 36,kutokana na tekateka nataka nijifunze karate,kabla sijamtafuta sensei je ni mazoezi gani nifanye ili yakanisaidie kurusha kick(geri),mateke..msamba unanishinda nmekomaa mifupa kupita kiasi.au msaada wa link itakayonitrain online.ntashukuru sana kama ntapewa majibu mazuri na si yakebehi
 
Fanya mazoezi ya kwenda mbinguni na kukwepa risasi. Usisahau zoezi la kutoa mikono itakayokukaba shingo kuingizwa kwenye motokaa ya watekaji. Mazoezi mema mkuu ila ukirudi toka mateka usitoe story nusunusu maana utatuacha na maswali 21!
 
Ningekutumia full combat ila imegoma ku-attach (jamaa yangu alikuwa nayo kwenye CD akanihamishia) sasa sijui alitumia maujanja gani kiasi huwa haikubali ku-duplicate! Mkuu teka teka ni janga la taifa! Ila majamaa nayo huwa yako vizuri kwenye mkono!! Nakushauri umtafute tu sensei hapo Mwanza akupe mafunxo ya moja kwa moja!
 
watekaji ni watu wenye mafunzo maalum ( isitafsiriwe kama ni vyombo vya serikali) kwa hiyo mkuu usijiamini sana hata baada ya kujifunza hizo karate,
 
Ningekutumia full combat ila imegoma ku-attach (jamaa yangu alikuwa nayo kwenye CD akanihamishia) sasa sijui alitumia maujanja gani kiasi huwa haikubali ku-duplicate! Mkuu teka teka ni janga la taifa! Ila majamaa nayo huwa yako vizuri kwenye mkono!! Nakushauri umtafute tu sensei hapo Mwanza akupe mafunxo ya moja kwa moja!
upo mkoa gani,i can make follow up.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom