karate tanzania

karate tanzania

king fizo

Member
Joined
Feb 23, 2013
Posts
16
Reaction score
2
hivi ss watanzanzia 2nataka kusema kweli michezo 2naijua lakin karate hatuijui. Maana juzi 2 kulikua na mashindano ya karate kwa vyuo vikuu kutoka nchi tofauti na yamefanyika mliman lakn hakuna hata mwanafunzi mmoja kutoka Tz. Inashangaza sana. Nyinyi mnaonaje wana JF
 
hivi ss watanzanzia 2nataka kusema kweli michezo 2naijua lakin karate hatuijui. Maana juzi 2 kulikua na mashindano ya karate kwa vyuo vikuu kutoka nchi tofauti na yamefanyika mliman lakn hakuna hata mwanafunzi mmoja kutoka Tz. Inashangaza sana. Nyinyi mnaonaje wana JF

wabongo ukiwaambia mchezo ni nini, tunakujibu ni soka tu. Hata katika huo(soka) tuna stink kama choo cha makuti.
 
Tatizo gvt yetu ina bagua michezo.
Wapo walimu wa karate mitaani
ni wazuri sana wamekosa kampani tu.
Hivyo wahisani wajitokeze na kudhamini michezo yote.
 
hivi ss watanzanzia 2nataka kusema kweli michezo 2naijua lakin karate hatuijui. Maana juzi 2 kulikua na mashindano ya karate kwa vyuo vikuu kutoka nchi tofauti na yamefanyika mliman lakn hakuna hata mwanafunzi mmoja kutoka Tz. Inashangaza sana. Nyinyi mnaonaje wana JF
Sidhani kama system ya elimu ya vyuo vikuu vya tanzania inaweza kumpa muda mwanafunzi wa kushiriki kwenye michezo. Wanafunzi wanawekwa bize mno, yaani mchakamchaka wa nguvu huna muda wa kupumua. Na akitokea genius akajihusisha na michezo au hata kufundisha tuition mtaani, maprofesa wakijua lazima wamuhujumu ili a-disco au a-supp.

 
ukienda mliman ni kuna viwanja vya kila aina na wachezaji kibao. Kazi ipo ingia humo wanapoita dojo wote ni makarateka kutoka nje ya chuo.kiukweli tanzania bado 2po nyuma kwenye fan ya karate
 
Hata yale mashindano ya Zain university challege hakuna chuo cha tz kilichokua kinafika robo fainali.
 
hivi ss watanzanzia 2nataka kusema kweli michezo 2naijua lakin karate hatuijui. Maana juzi 2 kulikua na mashindano ya karate kwa vyuo vikuu kutoka nchi tofauti na yamefanyika mliman lakn hakuna hata mwanafunzi mmoja kutoka Tz. Inashangaza sana. Nyinyi mnaonaje wana JF

hii ishu ni nzuri sana kwa kina ustadh rama sampaya maana ndio dili zao kule misikitini..
 
tatizo bongo urasimu umezidi,ni kweli kuna karateka kibao vyuoni mf huku kwetu saut ila hata info hatujapata afu utasikia ni mashindano ya vyuo,hapo ndo nashindwa kuelewa hivi tz chuo ni udsm
 
Back
Top Bottom