Karani wa mahakama jijini Kampala Uganda, amesimamishwa kazi na kufutiwa mshahara wa mwezi mmoja kwa kosa la kuvaa nguo fupi na inayobana kinyume na maadili.
Mytake: Bado sijaona nguo fupi hapa, nijuavyo nguo kama inafika kwenye magoti siyo fupi tena.
Mytake: Bado sijaona nguo fupi hapa, nijuavyo nguo kama inafika kwenye magoti siyo fupi tena.