Kapteni Komba, umetumwa na nani?

Kapteni Komba, umetumwa na nani?

PRINCE CROWN

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,210
Reaction score
4,178
Huyu bwana naona amelewa sifa kupitiliza.sikuamini masikio yangu kusikia akimtuakana Warioba eti Warioba ni hovyo hovyo anataka kuvuruga amani ya nchi.

Kwanza Komba ajue Warioba ni mtu mashuhuri nchini asijilinganishe nae. Warioba sio wa kufuata mawazo ya chama hata kama hayana tija kwa taifa yeye ni mzalendo,kwanza hakupewa vyeo kama Komba kupewa ukapteni,kwa kuimba taarabu katika vita ya Kagera.
 
Ametumwa na chama tawala,na hujui ukitukana sana unabeba uwaziri?Mwache atukane uwaziri huo waja!
 
Wakati mwingine iwe inatosha tu kwa sisi kuacha kuwajadili watu ambao wanajulikana kuwa ni punguani! Komba huyo unaejihangaisha kumuanzishia thread hapa ni zuzu kuliko mfano, kwenye pyschology watu wa aina yake huwekwa category ya imbeciles!
 
Ametumwa na chama tawala,na hujui ukitukana sana unabeba uwaziri?Mwache atukane uwaziri huo waja!

Hahahaha, hii nchi ni balaa. Hatuna kiongozi hata, mungu utunusuru
 
Mkuu hawa vibaraka wa ccm si watu ni mafis hawa,
Ccm wanaangalia maslia yao tu hawako kwa maslih ya watanzania,
Huyu jamaa sindo alisema atakimbilia porin?
Aende tu maana masura yao ni kama mosokwe tu ndo maana hayana utu
 
1378821_716476855048783_1572354611_n.jpg
 
Mkuu nani ampe komba uwaziri?
Akipewa nafasi hiyo nabadili uraia wa tz nachukua wa somalia
Kwanza anafikiri kwa kutumia tupo
 
atakuwa katumwa na lowasa huyo. maana jamaa kajitambulisha kuwa ni mpambe wake. ningekuwa lowasa ningekuwa tayari kuukosa urais kuliko kuwa na mfuasi/mpambe kama nguchiru/komba

huyu bwana naona amelewa sifa kupitiliza.sikuamini masikio yangu kusikia akimtuakana.warioba. eti warioba ni hovyo hovyo anataka kuvuruga amani ya nchi,
kwanza komba ajue warioba nimtu mashuuri nchini asijilinganishe nae. warioba sio wakufuata mawazo ya chama hatakama hayana tija kwa taifa yeye ni mzalendo,kwanza haku pewa vyeo kama komba kupewa ukapten,kwa kuimba taarabu katika vita ya kagera. aende akaimbe mipasho kule tot na khadija kopa, kulendio maalipake, asitafute kuzawadiwa uwaziri,
 
Hahahaha, hii nchi ni balaa. Hatuna kiongozi hata, mungu utunusuru
Nakumbuka Jenerali Ulimwengu aliisha sema Mwenyezi Mungu anatuhukumu kwa uchaguzi wetu wa hovyo.
 
Ametumwa na chama tawala,na hujui ukitukana sana unabeba uwaziri?Mwache atukane uwaziri huo waja!

Kuna kina mwajuma mkaa na kina mwiguke mbwiga wapo ndani wanatusua. Wacha bwana matusi yanalipa sana hasa kwa hiki CHAMA
 
Hahahaha, hii nchi ni balaa. Hatuna kiongozi hata, mungu utunusuru

Nimekuongezea miaka mingapi?Kwanza pole maana itakuwa miaka ya shughuli na hii serikali sikivu !:smile-big:
 
...teh teh kwanza kazi yake jeshini ilikuwa kunengua na kuwaimbia wazee wa kazi,asa sijui nini kinampa kiburi,kuvaa gwanda ?bunduki na mic wapi na wapi ?aaghr..!
 
Back
Top Bottom