mmash
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 832
- 1,237
Kuna kipindi nilisikia sikia kuwa jamaa amezama kwenye madawa ya kulevya huko Moro hadi hajielewi lakini yeye mwenyewe alikuja kuhojiwa na Millard Ayo akakana kuwa hatumii kabisa madawa,....lakini ukimuangalia tu jinsi alivyo wala huwezi kubisha kuwa jamaa ni Mteja,...
Ombi langu Kwa watanzania hasa wale wenye mauwezo yao,....Kwa nini wasijitokeze kumsaidi Daz Baba Kwa kumpeleka sober house akapate Tina sahihi ya dawa za kulevya?
Pengine anaweza akarudi kwenye game na akawa msanii bora kama zamani,wapo baadhi ya watu na taasisi zilizowahi kuwasaidia baadhi ya wasanii kupata tiba ya dawa za kulevya lakini baadhi ya wasanii wamerudia tena dawa hizo hali inayofanya watu wakate tamaa ya kumsaidia msanii mwingine tena,lakini ombi langu wana JF,msaidieni huyu jamaa maana Kwa muda aloteseka akipona anaweza asirudie tena uteja.
Ombi langu Kwa watanzania hasa wale wenye mauwezo yao,....Kwa nini wasijitokeze kumsaidi Daz Baba Kwa kumpeleka sober house akapate Tina sahihi ya dawa za kulevya?
Pengine anaweza akarudi kwenye game na akawa msanii bora kama zamani,wapo baadhi ya watu na taasisi zilizowahi kuwasaidia baadhi ya wasanii kupata tiba ya dawa za kulevya lakini baadhi ya wasanii wamerudia tena dawa hizo hali inayofanya watu wakate tamaa ya kumsaidia msanii mwingine tena,lakini ombi langu wana JF,msaidieni huyu jamaa maana Kwa muda aloteseka akipona anaweza asirudie tena uteja.