Kapimwe akili kama unawaamini UKAWA

Kapimwe akili kama unawaamini UKAWA

dalili ya moto yaweza kuwa ni moshi.....km huamini basi amini unavyoamini ni sawa pia
 
12.Nina shaka na mleta topic kama kweli hajawahi pimwa na kuanza matibabu wodi ya vichaa halafu
akakimbia bila kumaliza dozi kwa kuiamini ccm mpaka leo
 
Bila shaka mleta mada anaishi milembe... Leo kapata nafuu kidogo.. Cku zingine n sheeda hawez kupost kichaa kina kuwa Juu sana... Hongera kwa nafuu ya leo
 
mbona bado? awamu hii mtakuja hadi na staili ya mdundiko
 
Alafu mleta mada ndy wa kwanza kuwapiga mzinga ukawa.
Akili yako itabidi ku noki na ccm yko
 
Kwani wakati wa Ukoloni Tanzania tulikuwa nchi ya ngapi kwa utajiri?
Wakati wa ukoloni hakukuwa na nchi inayoitwa Tanzania bali kulikuwa na "German East Africa" chini ya ukoloni wa wajeremani, baada ya vita kuu ya kwanza kukawa na "Tanganyika" chini ya waingereza!
 
Mi nahisi jamaa kakurupuka tu au labda cyo mtanzania halisi kwa sekeseke hili bado anawapa kipaumbele ccm kwel???
 
# KAPIMWE AKILI...#

1. Kama wewe ni kijana na una nguvu za kutosha ila kila cku unailalamikia serikali kuwa ajira hakuna, kapimwe akili.

2. Kama wewe ni mwanachuo na huna strategies zozote za maisha kabla ya kumaliza chuo, kapimwe akil.

3. Kama wewe ni mwanaume na una miaka 28 na hujui
utaoa lini, bado unashindana na mdogo wako wa chuo kudate wasichana kibao na bado umepanga, wewe nenda kapimwe akili.

4. Kama wewe ni msichana miaka 25 na bado
hela ya kusuka unaomba kwa Wazazi na vibwana vyako, kapimwe akili.

5. Kama wewe ni mwanaume miaka 24 na zaidi na
unavaa mlege, kapimwe Medula Oblongata.

6. Kama wewe unamiliki simu (smartphones) zaidi ya moja na hujaajiriwa bado ila kila siku unalalamika huna mtaji, ila ukiamka saa kumi na moja unaingia whatsaap, facebook au insta kusoma udaku, wewe hata usipoenda waambie waje kukupimia akili nyumbani.

7. Kama ww 24/7 umekalia kuchat badala ya kufanya kazi za maendelea, ubongo wako umepinda kapimwe akili.

8. Kama wewe ni mdada una miaka zaid ya 27 umepangishiwa chumba na mume wa mtu mjini alafu jamaa familia na ndoa yake inayumba na bado umekomaa kumchuna na pembeni una vibwana vingine vya kukava nafasi mshkaj akishakua majalala, Kapimwe akili, na baada ya vipimo wakung'oe moyo.

9. Kama wewe ni mvulana na mvua ikinyesha cha kwanza unachokumbuka ni namba ya demu wako muende mkazini kisa baridi badala ya kuwapigia ndugu zako wanaokaa jangwani, nenda kapimwe ubongo .

10. Kama wewe umejiunga kwenye mi group kibao laini kila cku huchangii mada hata moja wala salamu, kapimwe akili pia left tu ili tujue hatupo na wewe

����������������

# Panua mawazo yako, UKAWA ndio Mdudu Gani Unaliwa nakuchezewa Akili Kijana wa Kitanzania.

ACHA NA EPUKO MICHEPUKO, BAKI NJIA KUU.
CCM ��YATOSHA.
Kwenye uchaguzi this year tu tawapa za
 

Attachments

  • images-5.jpeg
    images-5.jpeg
    6.4 KB · Views: 50
Leo ndo nimethibitisha akili nywele dizain aliyeandika thread hii atakua kanyoa kipara
 
Tulisema mapema vijana mnaoamini ktk Ukawa Mkapimwe akili kwani hakuna Chchote cha msingi huko UKAWA sasa leo hii mmebakia na nyimbo za vigodoro tu.

Hakuna cha Lowassa wala Maalim Seif
 
Umeandika vizuri lakini kuna baadhi ya mambo bado uwezo wako wa kupambanua mambo bado ni mdogo sana. Pia mambo ya vyama kwasasa mda wake umepita, watu washauliwe namna ya kupata shilingi. Tukikaribia 2020 ndio mambo ya uchama yaendelee, kwasasa kiongozi yeyote aliyechaguliwa chama X na akapita huyo ni kiongozi wa wananchi wote haijalishi chama
 
Back
Top Bottom