Kapimwe akili kama unawaamini UKAWA

Kapimwe akili kama unawaamini UKAWA

Vijana kama…Peter Dafi popote walipo na ukaona wanaamini CCM ndio mkomboz wao huku babu zao walikua na hiyo CCM leo hii wamezeeka hoi bin taaban na maisha duni.

Vijana kama hao hua medula oblangata inakua imehalibiwa na wenzao vidume mashabab wapenda mapinduz wanaoenda kuipindua CCM,, UKAWA daima.
 
Kwa nini wewe usianze kupimwa akili kwa kuwa umekuja kulalamika badala ya kufanya kazi
 







maji.jpg










Kapimwe akili kama baada ya kuangalia picha hizi utahitimisha kwamba MACCM yanatosha.

 
Wewe huna haja ya kupima akili, mpaka kufikia hapa ww ni chiz baki tu nyumban utasumbua ndg zako!
 
Nimeishia kucheka tu aiseee, basi kama ni hivyo Tanzania tuna safari ndefu sana sana
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mbona kuanzia 1 - 10 sioni mambo ya ukawa ila naona umezungumzia maisha au mambo ya kawaida ambayo wanaCCM wengi wanayafanya?

Ok, lets say UKAWA kama unavyotaka. Je ukienda kupima na ukakuta wapimaji wote ni UKAWA itakuwaje? Ulichoandika hakiendani kabisa na kichwa ulichotumia.

Kama ni ukawa ningetegemea uzungumzie katiba mpya, uchaguzi, uandikishaji wa wapiga kura, ushirikiano wa kuingg'oa CCM na mengine mengi yanayohusiana na siasa.

Sasa mambo ya kuolewa, kupangiwa nyumba, kuzini, kumiliki simu, mwanachuo kulalamikia ajira, mvulana na namba ya demu vinaingiaje katika UKAWA? Mimi naona wa kwanza kupimwa akili uwe wewe kwa kushabikia chama cha mafisadi na wezi.
 
mkuu upo sawa kabisa, huko UKAWA kuna wagonjwa wengi sana, ngoja tuingeze wodi kule sehemu husika wakakae huko.
 
Nimependa sana style hii ya uandishi

Aisee jamaa kaishuka nondo vizuri sana.

Watu wanalalamikia CCM miaka 50 waulize USA ni miaka mingapi wapo huru .Na ukienda kule hali ngum watu wanavyolia.
South Africa ndio mkuu kwa Africa leo hii hali kule ipoje,watu taabani,na wenye fursa ndio hao walioenda kuitumia kisha watu wanastuka kumekucha.Ndio hapa.Tusubiri umoja wa Africa Mashariki ukae sawa waje Wakenya na Waganda hapa wachukue kazi sie kulalamika tu.

Maisha ni jinsi unavyojituma mwenyewe.Kwa wale mlioenda ZAIRE(DRC),kule vyuo vikuu kibaoooo,kila mtaa kuna Gradutes zaidi ya mia.Sasa we unategemea nini.Wale wajanja wenye kujitambua wanajipanga na kisha wanatoka.

We unataka ajira na wale waliozaliwa kabla yako wasemeje.

Kwa wale mliofuatilia kipindi cha Uswazi jana,kuna jamaa walikuwa wamejiajiri wenyewe,walipoulizwa je mtu akikuajiri utakubali,jamaa wakasema sitaki kuajiriwa.

Mleta post hapo juu hajakosea hata moja,huo ndio mfumo tunaoendanao na kutaka maisha kuwa rahisi namna hiyo na nidham ya pesa kuwa mbovu kupita kiasi.Leo hii muuza Karanga mtaani ana niadham ya pesa kuliko Muajiriwa.

Fuatilieni Kipindi cha Mboni Show Marejeao,kuna yule Dogo DICK SOUND.
Ukisomea Historia yake unaweza kusema kama maisha ya kuigiza,tena yeye ni STD 7,ambao watu mnawadharau ni alilelewa na Single parent.lakini amefanya makubwa kwa kuwa alijitambua.
Leo kwa juhudi zake na kwa fursa serikali ilizomuwekea wazi.Leo hii ana miliki mijengo ya maana na Prado moja kali sana inakaribia 40m na nyingine ndogo almost usafiri wake tu si chini ya 70m kwa ujumla.Na Branches kadhaa za kazi zake na Pia anaeda China kuchukua bidhaa mwenyewe na Sasa hivi ameajiria watu tena wengi wamemzidi Elim.

Sasa yeye ni STD 7,aliejitambua,nyie wengine mnavamiwa vyuoni kwa kuwa wanaona wengie mliopo huko baadhi yenu mmeishajikatia tamaa wenyewe na ni rahisi kuwashawishi.

Maisha magum waliishi Mitume wetu tu,sie wengine ni kujipanga tu na dhambi zetu ndio zinatuhukumu.
Wewe kama unajiona maskini na maisha magum kwanza jitathmini wewe kama wewe mbele ya mungu wako.
Kisha jitambue,jitume na umuamini basi maisha yatakuwa ya kawaida sana.
Lakini ukasubiria nchi ya Asali na maziwa hapo ni ndoto na uzee huoooooooo.
 
Back
Top Bottom