Kapatwa na nini huyu mwenzangu?

Kapatwa na nini huyu mwenzangu?

Kwa uwezo wang mdogo wa kufikiria nahsi jamaa anahisi huyo co mtoto wake and anasubiri ujifungue 2 athibitishe..
 
Tangu nimepata ujauzito mchumba wangu katokea kunichukia hataki hata ukaribu na mimi lakin ukimuomba hela yoyote ile anakupa mi nimeshindwa kumuelewa kapatwa na nini namfanyie nini? Nimejishusha to the maximum ndo kwaanza hata mshipa wa faham haumchezi
Na tangu nimepata ujauzito nimekuwa na mhemuko ( ngenye) wa hali ya juu sana nikimwambia mwenzangu anasema pole. Hata sijui kapatwa nanini jmn.

inawezekana umeibeba mimba kwa kumtegeshea na hamkupanga pa1 kutotoa mtoto maana ndio zenu.
 
kuwa mvumilivu, kuna wanaume hawajui mwanamke akiwa na ujauzito anabadilika mwonekano na mvuto lakini hii si kwanawake wote.

usijiweke hovyo jitahid uwe msafi na nadhifu kama mwanzoni tafuta muda mzuri kaa naye nunuwa magazine za pregnancy woman aone wanaume wa kizungu wanavyopenda wake zao wakiwa kwenye hali fanya naye utani anajisikiaje kuwa baba mtalajiwa then mweleze hisia zako kwake na nini hupendi na aelewe kipindi hiki ndio anapaswa akuoneshe upendo wa dhati.

vunja ukimya sema naye. ila isijekuwa tu na wewe umejiachia saloon huendi unaishi kwa mazoea tu, hapana jiweke vizuri hata akikuta unaongea na simu aanze kuona wivu.

AF lara 1 anaachaje kukulove saaasa!
Go blaza gooooo
 
Last edited by a moderator:
Tangu nimepata ujauzito mchumba wangu katokea kunichukia hataki hata ukaribu na mimi lakin ukimuomba hela yoyote ile anakupa mi nimeshindwa kumuelewa kapatwa na nini namfanyie nini? Nimejishusha to the maximum ndo kwaanza hata mshipa wa faham haumchezi
Na tangu nimepata ujauzito nimekuwa na mhemuko ( ngenye) wa hali ya juu sana nikimwambia mwenzangu anasema pole. Hata sijui kapatwa nanini jmn.

nimejaribu kuipitia post yako pamoja majibu uloyatoa kwa wadau kwa umakini mkubwa.kwanza nikupe pole sana upo kwenye mtihani mkubwa sana.ila nilichojifunza huyo msukuma hakua tayari upate mimba eidha kwa sasa.au hana malengo ya kukuoa.kwa maana hiyo inamkera.nayeye anatoa matumizitu kwakua anajua mzigo wake
 
Ujue mwanamke ukiwa mjamzito,kuna baadhi ya wanaume wanakua na zile dalili walizopaswa kua nazo wanawake,unaweza kuta mwanamke anamchukia sana mwanaume,kwa hiyo kwako bibie hyo kitu huenda imetokea kwa mmeo,mwingine mwanaume akila kitu anatapika,mwingine mwanaume ni usingizi tu,wanaume wengine mpaka udongo wanakula wakati mwny mimba hagusi,so it depend my dear,usimlaumu ye anaona yuko sawa!
 
Tangu nimepata ujauzito mchumba wangu katokea kunichukia hataki hata ukaribu na mimi lakin ukimuomba hela yoyote ile anakupa mi nimeshindwa kumuelewa kapatwa na nini namfanyie nini? Nimejishusha to the maximum ndo kwaanza hata mshipa wa faham haumchezi
Na tangu nimepata ujauzito nimekuwa na mhemuko ( ngenye) wa hali ya juu sana nikimwambia mwenzangu anasema pole. Hata sijui kapatwa nanini jmn.


Khaaaaaa, Ntuzu a.k.a baba pita, umeona malalamiko ya mke wako (mama pita), humpi dudu kwa nini?

CC. mwallu, Evelyn Salt njooni huku muone wifi yenu anavyoteswa na kaka yenu!
 
Last edited by a moderator:
Mipango yenu katika maisha ilikuwa ni nini? je amekwisha fanya process zozote za kuja kwenu ?Au alikuwa kaghairi mipango ya ndoa mambo ya mimba yamejitokeza maana katika hali halisi alitakiwa afurahi na sio kuwa hivyo.
 
Back
Top Bottom