Mjusi Sharobalo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2025
- 7,442
- 12,710
Kila la kheri kwake.
Akitembeza mchicha ni upumbavu sio kozi alosomaAsome nini sasa, shauri mtu asije kuja tembeza beseni la mchicha kama sisi huku
Ni mpumbavu kwani kuna sehemu mliandikishana kama ukimaliza chuo utakiwi kutembeza mboga lazma uajiriweKwaio sisi tunaotembeza ni wapumbavu 🥺
Sawa mwerevu niajiri basi nammNi mpumbavu kwani kuna sehemu mliandikishana kama ukimaliza chuo utakiwi kutembeza mboga lazma uajiriwe
Tunasoma tuweze kucontrol mazngira ukiona mazngira ya kuchaguliwa namna ya kuish bas ulifata chet tu sio elimu
Nikuajir kivip fight mwenywe uyashinde maisha lkn pambana kama msomi sio kama ngumbaruSawa mwerevu niajiri basi namm
Aliichagua seran, wewe umejuaje hakuichaguaNaomba kupata mawazo yenu kuhusu hili. Mdogo wangu amefaulu vizuri kidato cha sita akiwa na combination ya PCB, lakini amepangiwa kusoma chuo kimoja huko Dodoma Bachelor of Commerce in Accountancy katika. Hii kozi hakuichagua kabisa.
Ohh kuna utofauti kama ukianzia diploma?Ingekuwa mimi ningechagua hata kuanza na diploma ya afya(segment ninayoipenda) kuliko kwenda kusoma accounts(kitu ambacho sikipendi).
Elimu ya sasa inasomwa kwa strategy, sio kujiendea tu hasa kama ni mtu anatamani kuja kufanya white-collar jobs.
Muongo huyoo, kaichagua huwezi ukapangiwa kozi usizozichukuaAmeniambia😆
Kabisa, tofauti lazima iwepo maana kwanza factor ya mda, itamchukua miaka mingi hadi apate degree(nursing) ila atakuwa amesomea kitu anachokitaka.Ohh kuna utofauti kama ukianzia diploma?
Unaakil mgando utak kubadilika kwaherSawa msomi unafanya kazi wapi?
Kubal kujifunza usichukulie mtu anaekushaur kama anakukejer take it positiveHaya mwenye akili mtindi
Hmmm🤔, haiwezekani mtu usome pcb upelekwe accountancy hilo halipooooooooo kabisaaaLakini we mwenyewe si unaona kila wizara Sasa hivi inajiamlia tu..