Kaolewa na mimba yangu

Kaolewa na mimba yangu

julius mahinya

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
1,152
Reaction score
384
Mpenzi wangu kaolewa jamani na jamaa kisa sijui huku ana ujauzito wangu wa miezi sita mwanaume kaambiwa anadai yeye atalea mtoto, Hivi hapa kweli sina haki jamani? naipataje haki jamani? ahadi ya kumuoa nilimpa muda ndio ulikua bado!
 
Tulia ulelewe mtoto wako wewe, Unajua gharama za kukuza zilivyokua juu? Btw dogo atakuja kukutafuta akishakua mkubwa.
 
Hahaha mimba sio yako hiyo Baba. Tuliza mzima, kamata mwingine na uwowe kabla haujamimbalaizi ili haki isipotee. Kitanda hakizai haramu
 
Una uhakika kama hiyo mimba yako??

Bila shaka mkuu si unajua ni ile mtu unajua siku zake na haikutokea bahati mbaya tulipanga na clinic tulianza kwenda sote mwanzo mwisho kama haitoshi nilimpa hii kitu tukiwa hotelini maana siku ya kumi toka aingie kwenye siku zake nilikaa nae hotelini hadi siku ya kumi na sita tukaenda kukaa kwangu kama haitoshi baada ya 28 days akiwa kwangu hakuona siku tukapima mkuu sasa hapo ntashindwa kuamini ni yangu kweli?
 
Hahaha mimba sio yako hiyo Baba. Tuliza mzima, kamata mwingine na uwowe kabla haujamimbalaizi ili haki isipotee. Kitanda hakizai haramu

unamaanisha hatakuwa mwanangu kisa kaolewa? nah sikubali that is afresh of my fresh!!!!!!!!
 
Unajuaje ni yako, inaweza isiwe yenu wote na huyo bwana harusi....
tulieni tu!!!
 
Mpenzi wangu kaolewa jamani na jamaa kisa sijui huku ana ujauzito wangu wa miezi sita mwanaume kaambiwa anadai yeye atalea mtoto, Hivi hapa kweli sina haki jamani? naipataje haki jamani? ahadi ya kumuoa nilimpa muda ndio ulikua bado!!!!!!!!

Mwenye kisu kikali ndiyo anakula nyama, ulikuwa wapi tangu posa inapelekwa, mahari yanatolewa mpaka ndoa inafungwa umeshindwa kutoa pingamizi?? Unakuja kulalama jamaa keshabeba mzigo na wa nyongeza juu??

Hata hivyo kitanda hakizai haramu huyo mtoto si wako tena ni wa mwenye kitanda (aliyeoa) labda kama ulijitambulisha kwao na ukawa unailea hiyo mimba vinginevyo imekula kwako hiyo!!
 
hivi mkuu una uzoefu wa utunzi wa vitabu vya hadithi?
 
Mwenye kisu kikali ndiyo anakula nyama, ulikuwa wapi tangu posa inapelekwa, mahari yanatolewa mpaka ndoa inafungwa umeshindwa kutoa pingamizi?? Unakuja kulalama jamaa keshabeba mzigo na wa nyongeza juu??

Hata hivyo kitanda hakizai haramu huyo mtoto si wako tena ni wa mwenye kitanda (aliyeoa) labda kama ulijitambulisha kwao na ukawa unailea hiyo mimba vinginevyo imekula kwako hiyo!!

kwao sijaenda ila clinic tumeenda sana tu!!!!!!!!!!
 
ilikuwaje mpaka akaolewa na mwengine na si na wewe!tena akiwa na mimba yako???
 
Unajuaje km aliambiwa mimba ni yako..Labda jamaa anajua yake ndo maana kaoa
 
Kama na wewe ni wale wanaotoa photocopy mbona mtoto utaletewa tu. Ila sasa akifanana na mama sahau kuletewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom