LILENDI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 1,400
- 497
Mpenzi wangu kaolewa jamani na jamaa kisa sijui huku ana ujauzito wangu wa miezi sita mwanaume kaambiwa anadai yeye atalea mtoto, Hivi hapa kweli sina haki jamani? naipataje haki jamani? ahadi ya kumuoa nilimpa muda ndio ulikua bado!
lugha hii! nilidhani mimba yako ndo imemwoa.
1. unataka haki ya kuendelea kuzini nae au mtoto?
kama mtoto atakuwa wako atakuja tu.
2. matunzo ya mimba na baadaye mtoto mmekubalianaje?
naamini mimba haikuhusu