Kaolewa na mimba yangu

Kaolewa na mimba yangu

Bila shaka mkuu si unajua ni ile mtu unajua siku zake na haikutokea bahati mbaya tulipanga na clinic tulianza kwenda sote mwanzo mwisho kama haitoshi nilimpa hii kitu tukiwa hotelini maana siku ya kumi toka aingie kwenye siku zake nilikaa nae hotelini hadi siku ya kumi na sita tukaenda kukaa kwangu kama haitoshi baada ya 28 days akiwa kwangu hakuona siku tukapima mkuu sasa hapo ntashindwa kuamini ni yangu kweli?

dah ilo li manzi lako litakua halijielew! Hv unaanzaje kuolewa huku una mimba ya mtu mwngne! Hv ni dhamira inakua imekufa ama?dah subr mkuu mtoto atakujaga kukutafta! Kp calm ulelewe mimba!
 
Jamaa alikuwa anachakachua kitambo mno. Alipiweka kitu ndo bidada akafanya maamuzi magumu ya kukubwaga. Niamini Mie dadako bwana, acha ubishi.
unamaanisha hatakuwa mwanangu kisa kaolewa? nah sikubali that is afresh of my fresh!!!!!!!!
 
inaumaaaaa!yani hapa nawaza kuolewa si mwanamke kuchukuliwa na mwanaume na kwenda kuishi naye?sasa wewe mwanamke wako kaolewa,huku ana mimba yako,mimba yako nayo imeolewa si jamaa anaenda kuishi nayo?na kwenye hiyo mimba kuna mwanao......dah,inaumaaaaaaaa!pole
 
Afu jamaa daily anakuwa anaweka maskio, macho na pua ya mtoto! Dah! Pocking your son on the head. Kwi kwi kwi
inaumaaaaa!yani hapa nawaza kuolewa si mwanamke kuchukuliwa na mwanaume na kwenda kuishi naye?sasa wewe mwanamke wako kaolewa,huku ana mimba yako,mimba yako nayo imeolewa si jamaa anaenda kuishi nayo?na kwenye hiyo mimba kuna mwanao......dah,inaumaaaaaaaa!pole
 
Anaejua mimba ni ya nani ni mwanamke,,haiwezekani ana mimba yako halaf akaolewe kwingine,..
 
Mpenzi wangu kaolewa jamani na jamaa kisa sijui huku ana ujauzito wangu wa miezi sita mwanaume kaambiwa anadai yeye atalea mtoto, Hivi hapa kweli sina haki jamani? naipataje haki jamani? ahadi ya kumuoa nilimpa muda ndio ulikua bado!!!!!!!!


Muda wa kumuoa ndio ulikuwa bado ila wa kumpa mimba ulikuwepo!!!
 
mada kama hizi zinatuchosha sana cc tulio na wachumba lakin hatujawaposa wala kuwaoa sababu ya dhiki! Ooh!.....Mungu saidia mimi nispatwe na mambo kama ya huyu bwana.......eeeh! Mungu niwezeshe kukamilisha mipango kwa huyu binti nimchukue kabla ya hao majangiri wenye roho mbaya..........AMEN!
 
hapa kuna ulakini....kuna kitu unaficha haimake sense..hivi huyu ni yuleyule alokuta pichu ya ex wako chumbani kwako?
 
kwao sijaenda ila clinic tumeenda sana tu!!!!!!!!!!

hata kisheria.huna haki ya kudau eti ni mtoto.wako hata akizaliwa..na kama ulikua na.nia kwanini usingemwoa? kwanini hukuweka pingamizi la ndoa kama ulikua na.uhakika mtoto.ni.wako? we hujitambui hii kama story tu ya.abunuwasi..kampata muoaji wewe.endelea kusubiri tena uwaache waish kwa amani hapo huna lako..
 
sijui kwa nini
ila naona hii ni tungo yako nyingine
 
Anaejua mimba ni ya nani ni mwanamke,,haiwezekani ana mimba yako halaf akaolewe kwingine,..

hujambo toto la kiarabu?lol!hata wanawake hawajuagi mwenye mimba ni nani labda kama alikuwa ana-du na mtu mmoja tu!wanachofanya wanawake ni either kupiga ana ana ana doo au kuchagua baba wa mtoto ni mwenye hela au aliye tayari kuoa haraka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom