Kaoa lakini bado anapiga punyeto

Kaoa lakini bado anapiga punyeto

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,792
Reaction score
2,421
Ni jamaa ninaeishi nae nyumba ya kupanga. Anamke tena mzuri tu na mtoto wa kama miaka mitatu hivi.

Kwa ujumla ni mpenzi wa movi za x. Nazani sababu kaoa huwa ananunua na kuziangalia na kuziifadhi ni kwangu.

Mi si mpenzi wa kanda hizo hivyo huwa anaziweka nikiwa naondoka siku moja nilirudi gafla nikamkuta anaangalia cd ya x huku anapiga punyeto. Tena nilikuta kakinga taulo lake anakitupa

Ye ni mcheshi saana ila aliona aibu kidogo akajikaza na kuanza kujichekesha.

Nilichukia ila ikabidi nicheke kupunguza hasira. Nikamtani vipi home mzungu wa nne(sababu mkewe hana mimba wala mtoto mchanga) akanipa story kuwa

anapenda punyeto sababu kwanza anajichagulia saizi ya k kwa mkono msichana kwa hisia eti za punyeto zote ni taiti na kwa hisia amesha du hadi na wazungu.

Mbili alianza tokea shule za bweni chuo na kwenye ubachela kwa kuwa hakuwa na ela za kuhonga

tatu humsaidia kutotoka nje ya ndoa live na kuleta magonjwa ndani. Na kweli jamaa hana tabia ya wanawake.
Mwisho akasema bila punyeto bao la kwanza ni ndani ya sekunde tatu tu

Na akasisitiza mke huwa hamnyimi
je ni sahihi kwa mtu aliyeoa au kuolewa kupiga punyeto?
 
aachane na muvie za ngono mshauri itamsaidia
 
Mpeleke kwa nabii flora akaombewe.
 
makubwa BORDING NOMA, huyo jamaa kwanza haachane na hizo cd pili hajaribu kutoa fikra zake kwa mambo ya punyeto kwa sababu ameshakua addicted, pili aombewe.
 
makubwa BORDING NOMA, huyo jamaa kwanza haachane na hizo cd pili hajaribu kutoa fikra zake kwa mambo ya punyeto kwa sababu ameshakua addicted, pili aombewe.
Kiswahili kigumu sana, lakini kingereza ni kigumu zaidi.
hapo kwenye bold, nadhani ulimaanisha "tatu"
 
Kama erection power ipo ya kutosha, mwache afanye yake! lol
 
huyo jamaa ni mpuuzi kweli kweli
Ni jamaa
ninaeishi nae nyumba ya kupanga. Anamke tena mzuri tu na mtoto wa kama
miaka mitatu hivi.

Kwa ujumla ni mpenzi wa movi za x. Nazani sababu kaoa huwa ananunua na
kuziangalia na kuziifadhi ni kwangu.

Mi si mpenzi wa kanda hizo hivyo huwa anaziweka nikiwa naondoka siku
moja nilirudi gafla nikamkuta anaangalia cd ya x huku anapiga punyeto.
Tena nilikuta kakinga taulo lake anakitupa

Ye ni mcheshi saana ila aliona aibu kidogo akajikaza na kuanza
kujichekesha.

Nilichukia ila ikabidi nicheke kupunguza hasira. Nikamtani vipi home
mzungu wa nne(sababu mkewe hana mimba wala mtoto mchanga) akanipa story
kuwa

anapenda punyeto sababu kwanza anajichagulia saizi ya k kwa mkono
msichana kwa hisia eti za punyeto zote ni taiti na kwa hisia amesha du
hadi na wazungu.

Mbili alianza tokea shule za bweni chuo na kwenye ubachela kwa kuwa
hakuwa na ela za kuhonga

tatu humsaidia kutotoka nje ya ndoa live na kuleta magonjwa ndani. Na
kweli jamaa hana tabia ya wanawake.
Mwisho akasema bila punyeto bao la kwanza ni ndani ya sekunde tatu tu

Na akasisitiza mke huwa hamnyimi
je ni sahihi kwa mtu aliyeoa au kuolewa kupiga punyeto?
 
Huyo amethirika na hiyo kitu aisee, mwambie aache kuangalia movie za aina hiyo. Na amuombe Mungu atampa neema ya kuacha hiyo kitu.
 
duh kwani shida iko wapi?

Kuoa ndio aache pulley! Hapana hata kidogo, nyeto ndio mpango mzima.

Nyeto mwake sana na haina umri wala kuoa......
 
Duh hii inaitwaga self service haina gharama yeyoooteee si jambo la kushangaa kabisa
 
Na yeye ndo kachagua kua punyeto ndo starehe yk ya kwanza kuliko kingine
 
We mtoa mada ndo unafuga ugonjwa,tia moto CD ZOTE ZA NGONO anazohifadhi kwako,then tishia kumsemea kwa mkewe,atanyooka tu.
 
Wanasaikolojia wanasema akili ya mtu mvivu ni ghala ya shetani na mipngo yake. Inaonekana huyo jamaa hayuko bize na kazi au za mikono wala za kufikirisha tu akili yake. Akiipa akili yake kitu cha kufanya hata michezo tu akalala amechoka hawezi kupata muda wa kupiga puli! Vijana wengi wanakaa bure bila kazi ya kufanya, kazi yao kubwa ni kukaa barabarani wakiangalia wanawake wanaopita na kisha kuvuta hisia za tamaa. Hela hawana, kutongoza hawawezi wanabaki kuangalia X kwenye simu zao na kisha kuishia bafuni kupiga puli. Dawa ya haya yote ni KAZI tu! Fanya kazi mwili uchoke hautapiga puli tena!!!!!
 
mbona kama wewe mwenyewe hii story?daaaaa
 
mh..................................
 
Back
Top Bottom