mmmh hapo pana utata kibinadamu lazima atakuwa anaona wivu akikuta wanaongeasasa huyu akikosa raha jee hawa:
Najua mtu ambaye ex yake kaolewa na brother yake mdogo sasa huyu hawezi kuavoid family yao.Lakini ndugu yake ka decide there is no other woman for him except huyu ex wa brathake.Mapenzi kweli ni blind:A S 8:
Binadamu tuna matatizo ya kujitakia. Haya mambo ya mahusiano hutakiwa kuaanzia pale ngoma ulipopakuta. Kagua mzigo uko fit, unga mdundiko. Mambo ya kuuliza, kusaka au kuishi na historia yana faida na zaida hasara katika mahusiano. Mambo ya umesha...na wanaume/wanawake wangapi kabla yangu ya nini?