Kanye West under fire after saying slavery was a choice

Kanye West under fire after saying slavery was a choice

asante bro, Ubarikiwe..

ila ninachotaka kujua ni general kamaaanisha nini?
sio direct transalation..
mfano.. kasema kuwa anapenda magereza yanawaunganisha,.. anamaanisha kuwa magereza yamefuta vidonda vya utumwa kwa vile race zote zinaenda gerezani ama ?
na je hizi kick za kanye ndio ameshaanza race za kugombea urais?
Huyu jamaa anafaa kuwa Raisi wa watu wa marekani
 
asante bro, Ubarikiwe..

ila ninachotaka kujua ni general kamaaanisha nini?
sio direct transalation..
mfano.. kasema kuwa anapenda magereza yanawaunganisha,.. anamaanisha kuwa magereza yamefuta vidonda vya utumwa kwa vile race zote zinaenda gerezani ama ?
na je hizi kick za kanye ndio ameshaanza race za kugombea urais?

Hapo mkuu naungana na unachokifikiria,

kwamba ana harakati za kugombea urais.

kwa ile kauli yake 'i like the word prison' hapa anataka kuudhibitishia umma ufahamu fika hana ugomvi na walitutawala na kufutanya waafrika watumwa kwa muda mrefu.

Pia uliposema kuwa Magereza yamefuta vidonda vya utumwa ni kweli ndio alicho maanisha katika kauli yake 'prison unites us as one' hapa ana maana kuwa gereza ni moja na waliopo mle ni waafrica(black americans) waamerica wenyewe pamoja na mataifa mengine mengi sana. Hapo kauli yake anamaanisha ana amini katika hilo.

Pengine yeye anaona ni bora hata tulivyo fanywa watumwa kwa sababu hatujapoteza ile human race badala yake tumekuwa pamoja(Americans,africans)

Asanteh, barikiwa na wewe pia mkuu, saint ivuga.
 
Hapo mkuu naungana na unachokifikiria,

kwamba ana harakati za kugombea urais.

kwa ile kauli yake 'i like the word prison' hapa anataka kuudhibitishia umma ufahamu fika hana ugomvi na walitutawala na kufutanya waafrika watumwa kwa muda mrefu.

Pia uliposema kuwa Magereza yamefuta vidonda vya utumwa ni kweli ndio alicho maanisha katika kauli yake 'prison unites us as one' hapa ana maana kuwa gereza ni moja na waliopo mle ni waafrica(black americans) waamerica wenyewe pamoja na mataifa mengine mengi sana. Hapo kauli yake anamaanisha ana amini katika hilo.

Pengine yeye anaona ni bora hata tulivyo fanywa watumwa kwa sababu hatujapoteza ile human race badala yake tumekuwa pamoja(Americans,africans)

Asanteh, barikiwa na wewe pia mkuu, saint ivuga.
Hii ni tafakari nzuri na fikirishi
 
niandamane kwa sababu ya watumwa mliojichagulia kuwa watumwa?????

Huwezi kuwa upo serious. Wewe ndo uandamane mimi ninaposema kwa sauti kuwa hakuna utumbo wowote unaoitwa Mungu
Aiseee kumbe kuna watoto wa shetani duniani Neno la Mungu linasema mpumbavuu usema hakuna Mungu kwahiyo sikulaumu wewe ni mpumbavuu
 
Ume misquote, all the same, jamaa ana akili kubwa sana, soma vizuri hiyo passage utamuelewa tu
Ni kweli mkuu,

Kwa upande mmoja jamaa nimemuelewa sana,

Hapo ile sera ya ubaguzi na utumwa hajaiweka kinaga ubaga badala yake ameigeuza kuwa ni fursa ya kuungana na waliotufanya watumwa.
 
Ni kweli mkuu,

Kwa upande mmoja jamaa nimemuelewa sana,

Hapo ile sera ya ubaguzi na utumwa hajaiweka kinaga ubaga badala yake ameigeuza kuwa ni fursa ya kuungana na waliotufanya watumwa.
Yuko makini sana, mama yake alikua ni Professor na kuna tetesi watoto wanarithi akili kutoka kwa mama zao, shauri yenu nyinyi wenye wanawake vilaza.
 
"When you hear about slavery for 400 years. For 400 years?! That sounds like a choice. Like, you were there for 400 years and it's all of you all? You know, it's like we're mentally in prison. I like the word prison 'cause slavery goes too -- too direct to the idea of blacks," he said in the interview. "So prison is something that unites us as one race, blacks and whites being one race. We're the human race."

What do you think brothers and sisters from another mother?


Ngoja nikupe true stori moja ambayo mimi nimeishuhudia labda italeta mwanga sina uhakika kama ina uhusiano na Mada ya Kanye, kuna siku nilikwenda Bagamoyo sasa yule jamaa aliyekuwa anatutembeza kwenye mambo ya kale na kutuelezea mambo ya Kihistoria alikuwa Mzee mmoja wa makamu na dogo mmoja hivi kwenye miaka chini ya 25 hivi, yule dogo mwishoni akasema yafuatayo, ,, aisee bro mimi sielewi ni kwa nini Shuleni tunafundishwa kwamba Utumwa na biashara ya utumwa ilikuwa mbaya, hivi hawa akina Michael Jordan, Tupac tunaowasikia, si ndo Watumwa wenyewe hawa,? akaendelea nakwambia bro leo hii ikija Meli ya Kizungu ikatia Nanga hapa na kusema anayetaka kwenda USA na Ulaya kuwa Mtumwa apande nakuhakikishia Meli itajaa", dogo alinifanya nitafakari sana sasa sijui kama ina uhusiano na Kanye, who knows?
 
Ngoja nikupe true stori moja ambayo mimi nimeishuhudia labda italeta mwanga sina uhakika kama ina uhusiano na Mada ya Kanye, kuna siku nilikwenda Bagamoyo sasa yule jamaa aliyekuwa anatumbeza kwenye mambo ya kale na kutuelezea mambo ya Kihistoria alikuwa Mzee mmoja wa makamu na dogo mmo hivi kwenye miaka kama 25 hivi, yule dogo mwishoni akasema yafuatayao, ,, aisee bro mimi sielewi ni kwa nini Shuleni tunafundishwa kwamba Utumwa na biashara ya utumwa ilikuwa mbaya hivi hawa akina Michael Jordan, Tupac si ndo watumwa wenyewe hawa,? akaendelea nakwambia bro leo hii ikija Meli ya Kizungu ikatia Nanga hapa na kusema anayetaka kwenda USA na Ulaya kuwa Mtumwa apande nakuhakikishia Meli itajaa", dogo alinifanya nitafakari sana sasa sijui kama ina uhusiano na Kanye, who knows?
Mkuu, story yako ni valid kabisa, wapo vijana wanafanya kazi kwa bidii wakitafuta nauli kwaajili ya kwenda kukata vitunguu na kubeba mabox huko ulaya na marekani. Utumwa unaanzia akilini.
 
Yuko makini sana, mama yake alikua ni Professor na kuna tetesi watoto wanarithi akili kutoka kwa mama zao, shauri yenu nyinyi wenye wanawake vilaza.
Halafu Kanye is the fake rapper he knows nothing about doing time , matter of fact hajawahi kukaa hata siku remand, amekulia kwny suburbs anatokea middle class leo anaongelea jela anaongelea utumwa
 
Mpaka amesema hivyo ni dhahili kuwa utumwa ni moja ya chanzo cha uchumi kwa mataifa yaliyoendelea.

Hakika ni kwamba meli hiyo itajaa na itaenda irudie na wengine wengi tu lol
Ngoja nikupe true stori moja ambayo mimi nimeishuhudia labda italeta mwanga sina uhakika kama ina uhusiano na Mada ya Kanye, kuna siku nilikwenda Bagamoyo sasa yule jamaa aliyekuwa anatumbeza kwenye mambo ya kale na kutuelezea mambo ya Kihistoria alikuwa Mzee mmoja wa makamu na dogo mmo hivi kwenye miaka kama 25 hivi, yule dogo mwishoni akasema yafuatayao, ,, aisee bro mimi sielewi ni kwa nini Shuleni tunafundishwa kwamba Utumwa na biashara ya utumwa ilikuwa mbaya hivi hawa akina Michael Jordan, Tupac si ndo watumwa wenyewe hawa,? akaendelea nakwambia bro leo hii ikija Meli ya Kizungu ikatia Nanga hapa na kusema anayetaka kwenda USA na Ulaya kuwa Mtumwa apande nakuhakikishia Meli itajaa", dogo alinifanya nitafakari sana sasa sijui kama ina uhusiano na Kanye, who knows?
 
Kanye namheshimu kama msanii lkn nadhani kuna kitu hakiko sawa
He is still a slave.
Kanye West suggests African-American slavery was 'a choice'
  • 1 hour ago

_101130595_hi046470518.jpg
Image copyrightPA
Image captionKanye West recently recorded a song defending his support for Donald Trump
US rapper Kanye West has said the enslavement of African Americans over centuries may have been a "choice".

"When you hear about slavery for 400 years ... for 400 years? That sounds like a choice," he said during an appearance on entertainment site TMZ.

"We're mentally imprisoned," the star added. He recently made headlines for his support for President Trump.

Black people were forcibly brought from Africa to the US during the 17th, 18th and 19th centuries and sold as slaves.
 
Ilikua kweli ni choice angalia kama sasa Muafrika anaona bora aende Ulaya akatumikishwe na wazungu kuliko kujitumikisha mwenyewe ktk ardhi yake
 
Back
Top Bottom