LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,219
- 27,370
- Thread starter
- #41
Japo Mimi sio Atheist lakini Atheist hawezi kujiua kwa sababu hawezi kuwa disappointed by a higher spiritual being kama ninyi watu wa dini. Wewe mambo yako yakikwama sana inaweza kukufanya uamini umelogwa au Mungu amekuacha. Atheist hawezi kuwaza hivyo
Mzee utapiga kelele ila mpo wachache ,atheist ilikuwa America kwa sasa inapungua watu wanaingia kweny dini kwa sana.
Ndio maana sio logic kuleta quote ya Kanye west ,unajifunga bro acheni stress ndio mnaongoza kwa kujiua😂😂