The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,873
Kwa hiyo itaanza lini?
Subiria tamko!
Kwa hiyo itaanza lini?
Hahaha nimefurahia hilo jibu rafiki, bora umeamua kusaidia mamlaka.Duh kwanini rafiki mwema niliyekumiss
Hope haitakuwa 2040Subiria tamko!
Wako kimya inabidi kutoa msaada tutaniHahaha nimefurahia hilo jibu rafiki, bora umeamua kusaidia mamlaka.
Nauli bei gani?
Wengi humu wanaoiga mayowe tu hawajaenda hata siteHuku kwetu imeisha navionaga viberenge had usk vinapita naskia mtikisiko sijui muungurumo
Hahahaaaa....... Umenikumbusha Ufipa street!
Hapana hapa ni LMB7 RDHahahaaaa....... Umenikumbusha Ufipa street!
Hahahaaaa..... Kwahiyo boda ya babu tale imembeba covid 19 mmoja wa Ufipa!Hapana hapa ni LMB7 RD
Halafu na nyinyi muikarabati basi na ile reli ya TAZARA pamoja na Vichwa na Mabehewa yake. Sijui ni mkataba gani mlio ingizwa na Wachina kati yenu na Zambia! Si mgawane tu fito! Ile Treni imejaa changamoto lukuki!Kanusho la taarifa ya kuanza kwa huduma za safari za treni za kisasa Dar es Salaam - Morogoro
View attachment 1718469
Wa lumumbaHahahaaaa..... Kwahiyo boda ya babu tale imembeba covid 19 mmoja wa Ufipa!
Hope haitakuwa 2040
Tazara na TRC ni vitu viwili tofauti.Halafu na nyinyi muikarabati basi na ile reli ya TAZARA pamoja na Vichwa na Mabehewa yake. Sijui ni mkataba gani mlio ingizwa na Wachina kati yenu na Zambia! Si mgawane tu fito! Ile Treni imejaa changamoto lukuki!
Kwa nini kila Nchi isijitegemee kusimamia reli yake? Na kama kuna fidia ya kuwalipa hao Wazambia kwa namna yoyote ile, si walipwe! Wazambia ni viumbe wavivu na wapenda starehe tu! Kuendelea kuwakumbatia, kuna sababisha adha na changamoto nyingi kwa watumiaji wa hiyo reli.
Yaani tangu izinduliwe miaka ya 1970's, kwa sasa ukiikuta miundombinu yake, inatia kinyaa!
Nafahamu sana. Wanaweza hata kumfikishia Waziri mwenye dhamana au hata Mhusika Mkuu!Tazara na TRC ni vitu viwili tofauti.