47pro
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 1,204
- 332
Mavadiliko =mabadilikoMnapenda sana posho
Sisi wananchi wataka mavadiliko tulitaka mjiuzulu wote bara na visiwani
Mavadiliko =mabadilikoMnapenda sana posho
Sisi wananchi wataka mavadiliko tulitaka mjiuzulu wote bara na visiwani
Whatever is excellentHawajajiuzulu nimeongea na Mhe. Sakaya ni Propaganda dhidi yao
Kilichopo ni wabunge wa CUF kuomba ruhusa katika kamati zao na kwenda Znz Kuwasaidia wananchi na kushuhudia madhila wanayoyapata katika kile kinachoitwa kuelekea uchaguzi wa marudio
CHANZO: MWANAHABARI HURU
Unajivunia ukurunzinza? Alafu unasema demokrasia"Unaweza kuchezea ndevu za Mwanamapinduzi sio Serikali ya Kimapinduzi"-Comandoo Dr.Salmeen Amour Juma Rais wa Tano wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar 1990-2000!
Ukurunzinza is not excellentWhatever is excellent
Sijawahi ona chama kikitangaza wabunge wake kujiuzulu ubunge badala ya mbunge mwenyewe kumuandikia spika barua ya kujiuzulu.
Yuletee barua kama tuliyoiona, hayo ni maoni yenu Lumumba hakibadiri kilichopo cha ukweli.Hawajajiuzulu nimeongea na Mhe. Sakaya ni Propaganda dhidi yao
Kilichopo ni wabunge wa CUF kuomba ruhusa katika kamati zao na kwenda Znz Kuwasaidia wananchi na kushuhudia madhila wanayoyapata katika kile kinachoitwa kuelekea uchaguzi wa marudio
CHANZO: MWANAHABARI HURU
AKILI Za Ngada!!Mnapenda sana posho
Sisi wananchi wataka mavadiliko tulitaka mjiuzulu wote bara na visiwani
Saed Kubenea kupitia mtandao wake kwa kutumia ID bandia ameweka hiyo barua
Kwani walishampa matokeo yake ya tarehe 25Kwani kiongozi wao alikwisha jiuzuru umakamu wa rais?
Yulete ndio choo chenu cha fisi?Yuletee barua kama tuliyoiona, hayo ni maoni yenu Lumumba hakibadiri kilichopo cha ukweli.
Unatumia "masabuli" kufikiriSaed Kubenea kupitia mtandao wake kwa kutumia ID bandia ameweka hiyo barua
Mimi nauliza kama naye amejiuzuru U makau wa Rais, wewe unazungumzia vitu tofauti! Au hautelewani lugha?Kwani walishampa matokeo yake ya tarehe 25
Rais alishajiuzulu?Mimi nauliza kama naye amejiuzuru U makau wa Rais, wewe unazungumzia vitu tofauti! Au hautelewani lugha?
Usiwahukumu, kwani ni nani aliesema wamejiuzulu?Siasa za maji taka wanazo hao chama cha Machafuko
Kama uliyoyaandika ni kweli, aliekisajili ni kichwa box...Chama cha Uhuni na Fitna (CUF)