LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Kama alitaka kuiua Chadema wakamstukia na kumtema wewe unashauri wamuinguze UKAWA ili aendelee jutoa siri na mikakati ya UKAWA kuiondoa Ccm madarakani?? Kwanini asiendelee na ushirika wake na Ccm?? Kama hawatoshi wako kina TLO, UDP, DOVUTWA MZIRAY na vingine vingi mamluki. Zitto ni sawa na ukoma.