MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,443
Nilikuwa najiuliza kama mnyika akitimuliwa chadema ana mapafu ya ZZK, au Lisu kwa mfano!Kweli ZZK ni noumaTena kama ningekuwa mshauri wa zito ningemshauri zito akagombee ubungo.huyu mnyika ndio mnafiki mkubwa na ndo alieleta majungu mpaka zito afukuzwe chama ili apate cheo cha zito.Mwenzake kaonyesha uanaume kakaa kimya yeye analeta majungu kama M.w.a.n.a.m.k.e.