Kanuni 20 za Kuendesha Magari ya Kutembelea!.

Kanuni 20 za Kuendesha Magari ya Kutembelea!.

Mzee

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2011
Posts
13,620
Reaction score
5,863
KANUNA 20 ZA KUENDESHA MAGARI YA KUTEMBELEA

1. Ukiwa highway habari za kukatikiwa mafuta utoke kukimbizana na vidumu sheli au kuomba kunyonyewa ,hatutaki ,unatuzingua mkuu .....kwani gauge haisomi ?

2. Mwisho wa kutembea na spare tairi ni masaa 24 , niamimi Mimi aisee hii inaleta respect kinamna kwa sisi wamiliki .

3.Mafuta ya vibobo utadhani pikipiki za kina Ihema au Hamisi wa Usangi kausha , jichange peleka mchuma Sheli .

4.Usiwe overtaked na Trekta aisee unatuaibisha .Hata Kama trekta anaendesha Shumaka , usipitwe .

5 .Kujipiga selfie highway tena uko 80 ,acha hii ilileta shida Sana pale Durban South Africa .

6.Ukiona mtoto mkali mtaani punguza speed , mcheki geuza shingo huku umeegemeza mikono miwili juu ya stelingi , akitabasam punguza kabisa speed .

7.Safari ya mbali usikose kusafiri na Wakuu kuliko mademu , huwa kuna zile chuma imezingua , Wakuu ni rahisi kuwa na uvumilivu kuliko mademu .

8. Ukiwa na mtoto mkali unapita mitaa unayojiamini shusha kioo kimtindo , hii ni kuleta security , niamini mimi .

9.Unagonga mziki kinu kinalia Kama club , huo utoto mkuu . Music sauti flani inaleta umakini road .

10. Kupiga piga honi kitaa acha , kwani unafungua geti mkuu ?

11.Pokea simu za maana tu ukiwa road ,hizi long call za habari za ukoo,mara mnakumbushana habari za shule ya Sekondari ,kausha .

12 .Gari ya dem na uko nae garini kisha unaendesha speed 120 huku umevua shati , mkuu unatuangusha, Walienda Beijing hawa.

13.Kuchunachuna break kausha .

14.Ukisimamishwa na Traffic simama mbele yake kidogo , hii huleta respect kwa sisi wamiliki tukikuona .Hii kanuni imetumika Sana Abuja Nigeria .

15.Usikose maji ya kunywa ndani ya ndinga .

16.Usilewe ukadraivu kama huwezi hizo mambo.....na usilewe kabisa ndiyo Sheria zinavyosema.

17.Usimpe lift kila unaemuona ,wengine wana lawama au utafuata ratiba zao ,Kuna raia wana vipawa vya ushawishi .

18.Usifuate deni lako huku unadraivu ,hii mbinu haionekani kuwa na matokeo mazuri ,Muulize Hossen Mkwaruno wa Mwanga .

19.Kupiga misele tu acha , fuata issue za msingi .

20.Kuwa fundi kimtindo sio kila tatizo unakimbia gereji ,tafta uzoefu.

Imeandaliwa na Ihema Mfanga (Mwendeshaji wa Porus ya Hussein )
 
watembea kwa miguu vipi,,,
tunaruhusiwa kusema chochote
 
KANUNA 20 ZA KUENDESHA MAGARI YA KUTEMBELEA

1. Ukiwa highway habari za kukatikiwa mafuta utoke kukimbizana na vidumu sheli au kuomba kunyonyewa ,hatutaki ,unatuzingua mkuu .....kwani gauge haisomi ?

2. Mwisho wa kutembea na spare tairi ni masaa 24 , niamimi Mimi aisee hii inaleta respect kinamna kwa sisi wamiliki .

3.Mafuta ya vibobo utadhani pikipiki za kina Ihema au Hamisi wa Usangi kausha , jichange peleka mchuma Sheli .

4.Usiwe overtaked na Trekta aisee unatuaibisha .Hata Kama trekta anaendesha Shumaka , usipitwe .

5 .Kujipiga selfie highway tena uko 80 ,acha hii ilileta shida Sana pale Durban South Africa .

6.Ukiona mtoto mkali mtaani punguza speed , mcheki geuza shingo huku umeegemeza mikono miwili juu ya stelingi , akitabasam punguza kabisa speed .

7.Safari ya mbali usikose kusafiri na Wakuu kuliko mademu , huwa kuna zile chuma imezingua , Wakuu ni rahisi kuwa na uvumilivu kuliko mademu .

8. Ukiwa na mtoto mkali unapita mitaa unayojiamini shusha kioo kimtindo , hii ni kuleta security , niamini mimi .

9.Unagonga mziki kinu kinalia Kama club , huo utoto mkuu . Music sauti flani inaleta umakini road .

10. Kupiga piga honi kitaa acha , kwani unafungua geti mkuu ?

11.Pokea simu za maana tu ukiwa road ,hizi long call za habari za ukoo,mara mnakumbushana habari za shule ya Sekondari ,kausha .

12 .Gari ya dem na uko nae garini kisha unaendesha speed 120 huku umevua shati , mkuu unatuangusha, Walienda Beijing hawa.

13.Kuchunachuna break kausha .

14.Ukisimamishwa na Traffic simama mbele yake kidogo , hii huleta respect kwa sisi wamiliki tukikuona .Hii kanuni imetumika Sana Abuja Nigeria .

15.Usikose maji ya kunywa ndani ya ndinga .

16.Usilewe ukadraivu kama huwezi hizo mambo.....na usilewe kabisa ndiyo Sheria zinavyosema.

17.Usimpe lift kila unaemuona ,wengine wana lawama au utafuata ratiba zao ,Kuna raia wana vipawa vya ushawishi .

18.Usifuate deni lako huku unadraivu ,hii mbinu haionekani kuwa na matokeo mazuri ,Muulize Hossen Mkwaruno wa Mwanga .

19.Kupiga misele tu acha , fuata issue za msingi .

20.Kuwa fundi kimtindo sio kila tatizo unakimbia gereji ,tafta uzoefu.

Imeandaliwa na Ihema Mfanga (Mwendeshaji wa Porus ya Hussein )
Haya avae, nahavache!
 
Na sisi wa passo sheria zinatuhusu?
 
Mimi kwenye hii mkulima(phonex)navua hadi shati!!!...je nikipata ndinga nitaendesha nikiwa na boksa pekee!anyway tusipangiane mtu chake
 
21,kuendesha huku unaongea na simu,huo ni umama,kiasili wanawake ndio wanaweza kufanya mambo kumi kwa wakati mmoja.
 
Uzi umekosa lishe tu ila hupo vizuri maana ulitaka kufanana na Uzi mmoja hivi yule jamaa aliandika vizuri


"wellcome haters"
 
KANUNA 20 ZA KUENDESHA MAGARI YA KUTEMBELEA

1. Ukiwa highway habari za kukatikiwa mafuta utoke kukimbizana na vidumu sheli au kuomba kunyonyewa ,hatutaki ,unatuzingua mkuu .....kwani gauge haisomi ?

2. Mwisho wa kutembea na spare tairi ni masaa 24 , niamimi Mimi aisee hii inaleta respect kinamna kwa sisi wamiliki .

3.Mafuta ya vibobo utadhani pikipiki za kina Ihema au Hamisi wa Usangi kausha , jichange peleka mchuma Sheli .

4.Usiwe overtaked na Trekta aisee unatuaibisha .Hata Kama trekta anaendesha Shumaka , usipitwe .

5 .Kujipiga selfie highway tena uko 80 ,acha hii ilileta shida Sana pale Durban South Africa .

6.Ukiona mtoto mkali mtaani punguza speed , mcheki geuza shingo huku umeegemeza mikono miwili juu ya stelingi , akitabasam punguza kabisa speed .

7.Safari ya mbali usikose kusafiri na Wakuu kuliko mademu , huwa kuna zile chuma imezingua , Wakuu ni rahisi kuwa na uvumilivu kuliko mademu .

8. Ukiwa na mtoto mkali unapita mitaa unayojiamini shusha kioo kimtindo , hii ni kuleta security , niamini mimi .

9.Unagonga mziki kinu kinalia Kama club , huo utoto mkuu . Music sauti flani inaleta umakini road .

10. Kupiga piga honi kitaa acha , kwani unafungua geti mkuu ?

11.Pokea simu za maana tu ukiwa road ,hizi long call za habari za ukoo,mara mnakumbushana habari za shule ya Sekondari ,kausha .

12 .Gari ya dem na uko nae garini kisha unaendesha speed 120 huku umevua shati , mkuu unatuangusha, Walienda Beijing hawa.

13.Kuchunachuna break kausha .

14.Ukisimamishwa na Traffic simama mbele yake kidogo , hii huleta respect kwa sisi wamiliki tukikuona .Hii kanuni imetumika Sana Abuja Nigeria .

15.Usikose maji ya kunywa ndani ya ndinga .

16.Usilewe ukadraivu kama huwezi hizo mambo.....na usilewe kabisa ndiyo Sheria zinavyosema.

17.Usimpe lift kila unaemuona ,wengine wana lawama au utafuata ratiba zao ,Kuna raia wana vipawa vya ushawishi .

18.Usifuate deni lako huku unadraivu ,hii mbinu haionekani kuwa na matokeo mazuri ,Muulize Hossen Mkwaruno wa Mwanga .

19.Kupiga misele tu acha , fuata issue za msingi .

20.Kuwa fundi kimtindo sio kila tatizo unakimbia gereji ,tafta uzoefu.

Imeandaliwa na Ihema Mfanga (Mwendeshaji wa Porus ya Hussein )
Hivyo viAltezza vyenu viambie vipunguze kelele maana hii ilileta shida sana pale Cebu,Phillipines 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom