Duhmimi sikuhiz sipishi ng'ombe yoyote seat, yaaan labda uwe na mguu mmoja... Mjamzito Mzee Mlemavu wa kawaida tu au Mama mwenye mtoto I don't care utasimama mbele yangu mwanzo wa kituo hadi mwsho wa safar na sipepesi macho pembeni
Unaweza kumpiga mtu kibao akalalamika kateguka nyonga hawezi kwenda kazini, umhudumie 🤣😂Hali ya maisha ilivyokuwa ngumu tutaona mengi 😀😀😀
Gari sio kama dushe au papuchi kusema kila mtu kazaliwa nayo na atakufa nayo.Tulikubaliana wanaJF wote tuna magari
Hatuwaelewi na hizi story zenu za daladala
Hata dushe na papuchi sio lazima ufe nayoGari sio kama dushe au papuchi kusema kila mtu kazaliwa nayo na atakufa nayo.
Zikiondolewa kwa nguvu ndio chanzo cha kifo.Hata dushe na papuchi sio lazima ufe nayo
😅😅 je kama mume hana?Mwambie amnunie mmewe
😂😂😂 Pacha lol.Tulikubaliana wanaJF wote tuna magari
Hatuwaelewi na hizi story zenu za daladala
Basha wake achukue nafasi.😅😅 je kama mume hana?
Mwambie amnunie mmewe
Ulipata baraka kutoka kwa malaika mkuuNilimpakata mtoto siku moja naenda Chamazi, akasinzia akanikojolea mkojo unanuka kishenzi!