Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,809
- 15,439
- Thread starter
- #21
Hahaa, Matangazo yameisha. Mtambuzi endelea tafadhari
Mbona huna dogo mkuu?
Siwezi kusimulia kila kitu, nishasema mzazi mwenzangu ni mwanasheria mnataka nifunguliwe mashitaka ya defamation na kudaiwa fidia kwa kudhalilisha?
Isije ikawa yuko humu JF ananisoma....! Ukute ndiye BADILI TABIA.......Mai weeeeee nimekwisha...................LOL
Last edited by a moderator: