Donpela
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 2,040
- 591
- Thread starter
- #21
Mbona head ya thread inaonekana umechanganya viloba vya valieur na safari za kufa mtu?
hii mi bb kutumia kero. .Usipokua makini unachanganya . . Ila si mradi umenisoma. .
Btw nilikua situmii brown whisky myfriend<JD exceptional>. .Mi nilikua smirnoff ase. .Biterlemon na sprite iliyochanganywa na maji kwa mbaaaaaali. . .